"If you don't know where you are going, you may think any road may take you there".Team haikujaribu "hard enough" kumbakisha, ukisema umri angalia wakati Sanchez wakati anakuja alikua na umri gani na pesa ngapi anakula.
This team doesn't know what they want, there is a saying: "If you don't know where you are going, any way can lead you there".
Mbappe anajua anakotaka kwenda mkuu..Mara mia tumuuze Rashford na Lingard tumnunue Mbappe.
Huwa sikuelewi kila tatizo la United unamuangushia Mourinho,alisajili wachezaji wafuatao na umri wao
Diego Dalot-19,Victor Lindelof-23,Paul Pogba-23,Eric Bailly- 24,Romelu Lukaku- 24,Fred-25,
Henrik Mkhitaryan-27,Nemanja Matic-29,Alexis Sanchez-29,Zlatan Ibrahimovic-35,Lee Grant-35
Kina Smalling,Jones walisajiliwa wakiwa chipukizi kabisa lakini ni miaka 10 now hakuna walichobadilika
Mbona unashindwa kutetea hoja zako,umesema alisajili wachezaji wazee now umeshabadilika alisajili wachezaji hovyoNi vyema umewataja wachzaji aliosajili,sasa ebu niambie alisajili beki wawili wa kati,bado msimu uliofuata alitaka tena beki wa kati,hapo ndipo nilianza kuona mwenye tatizo ni Jose.Karibu usajili wote aliofanya Jose ulikuwa hovyo,fikiria kasajili wachezaji 11 niambie yupi wa kujivunia mpaka sasa.
I doubt hata kama unamfahamu Toby tunayemzungumzia,Toby anacheza Spurs na amecheza EPL kwa misimu 5 now
2015-2016 alikuwa kwenye PFA Team of the year sijui unaizungumzia kasi ipi na hawa wenye kasi Smalling,Jones,Rojo wamefanya nini cha ajabu
Smalling na Jones hata wakiitwa timu ya taifa ni wachezaji wa benchi hawajawahi kuanza kikosi cha kwanza na wako kwenye timu karibia miaka 10 ,Smalling aliwahi kucheza vizuri msimu mmoja wakati wa LVGNi beki wa kawaida sana kinachomsaidia ni mfumo wa team na viungo wazuri waliopo Spurs,nakuhakikishia kama Jose angefanikiwa kumsajili leo ungekuwa unazungumza maneno mengine.Smalling & Jones walikuwa wachezaji wa team ya taifa ya England na Rojo Argentina sidhani kama ni wabaya kiasi hicho unachosema naamini majerui na mifumo ya waalimu tofauti tofauti vimechangia kuporomosha kujiamini.Bado naamini Toby si jibu la uhakika la safu ya ulinzi ya Man,naamini mifumo imara hasa kuepuka kabadili waalimu mara kwa mara kumeendeleza tatizo.
Mbona unashindwa kutetea hoja zako,umesema alisajili wachezaji wazee now umeshabadilika alisajili wachezaji hovyo
Toby ni mzee..unazungumzua Stats za 2015-2016 wkt tupo 2019..bro hauko serious.
Zlatan is the most succesfully player signed by Mourinho despite his age,Sio kila mchezaji anasajiliwa aje acheze timu miaka 5/10Zlatan 35 !,sijui kama mwalimu unategemea nini kwa mchezaji mzee wa kiwango hiki zaidi ya kuwazibia nafasi makinda.
Sanchez 29 kama kuna mchezaji majanga sijaona kama huyu,kwanza kaja kuharibu salary structure na sijaona anachokifanya zaidi ya kuanguka angua uwanjani na kulalamika kwa waamuzi.
Matic 29 alicheza mwaka 1 baada ya hapo hakuna kitu akiwa uwanjani ni kama team inacheza na wachezaji 10,yuko very slow hapa sasa ndio utajua umri ni suala muhimu sana.Kwa lugha rahisi Matic umri umemkamata kisawa sawa hana mchango wa maana katika team bora McTominay mara mia mbili.
Haya ndio aliongea Woodward first quarter baada ya Sanchez kusajiliwaAksante Baba unajua namkubali sana Belo lakini wakati mwingine anakuwa kama Ed yaani anakuwa nyuma ya wakati sana fikiri mchezaji wa miaka 29 miezi miwili mbele 30 unataka asajiliwe !.
Zlatan is the most succesfully player signed by Mourinho despite his age,Sio kila mchezaji anasajiliwa aje acheze timu miaka 5/10
Kuna wachezaji huwa wanasajiliwa kwa ajili ya muda mfupi Henrik Larsson huyu hakucheza hata mechi 20 but ni mmoja ya wachezaji waliokuwa na msaada sana ule msimu.Rodgers alimsajili Milner akiwa mchezaji mzee lakini ni mmoja ya wachezaji muhimu sana kwenye kikosi chao kwa sasa
Ed Woodward ndio anayenegotiate mishahara ya wachezaji,yeye ndio alikuwa ana uwezo wa kukataa kumsajili Sanchez kama alivyogoma kusajili defender last season
Inawezekana tunafuatilia timu tofauti but i know Zlatan aliumia na hata fainali ya Uropa alikuwa nje na magongo msimu uliofuatia alivyopona hakucheza mechi nyingi akaondokaZlatan alicheza vizuri msimu mmoja tu,msimu uliofuta alichemsha vibaya sana,again umri hasa EPL si suala la kubeza.Ukitazama League ya Italy aina mchezo unaweza kuwa accomodate wachezaji wazee lakini si EPL.Naamini Man inatakiwa kutazama mipango ya muda mrefu kuanzia Mwl na Wachezaji naamini katika usajili wa makinda ndio suluhu ya matatizo yetu ya muda mrefu.
itazame Ajax tuliyokutana nayo fainali ilijikita zaidi katika makinda sisi tulikimbilia fainal product matokeo yake ndio haya tunashindwa kuingia top 4.Uwekezaji wa kina Pogba.......unatuumiza sana kuanzia fedha zilizotumika na baya zaidi tabia zake mbovu za kujiangalia yeye mwenyewe kuliko team ni mwendelezo wa mifano mibaya kwa wachezaji chipukizi.
Inawezekana tunafuatilia timu tofauti but i know Zlatan aliumia na hata fainali ya Uropa alikuwa nje na magongo msimu uliofuatia alivyopona hakucheza mechi nyingi akaondoka
Mpaka magazeti yamembrand jina la THE WALKING MATIC.Zlatan 35 !,sijui kama mwalimu unategemea nini kwa mchezaji mzee wa kiwango hiki zaidi ya kuwazibia nafasi makinda.
Sanchez 29 kama kuna mchezaji majanga sijaona kama huyu,kwanza kaja kuharibu salary structure na sijaona anachokifanya zaidi ya kuanguka angua uwanjani na kulalamika kwa waamuzi.
Matic 29 alicheza mwaka 1 baada ya hapo hakuna kitu akiwa uwanjani ni kama team inacheza na wachezaji 10,yuko very slow hapa sasa ndio utajua umri ni suala muhimu sana.Kwa lugha rahisi Matic umri umemkamata kisawa sawa hana mchango wa maana katika team bora McTominay mara mia mbili.
Mpaka magazeti yamembrand jina la THE WALKING MATIC.
Mara mia tumuuze Rashford na Lingard tumnunue Mbappe.
Jose katurejesha nyuma pakubwa.
Mkuu tofautisha Man u na timu kama tottenham, Man u ni bussness club....hauwez kuwait kwa miaka mitatu au minne, timu itakula hasara ya kufa mtu.....kiufupi tu swala la namna hiyo halipo na wala hutaliona popote kwa timu kama man u, Real madrid, Barcelona au Bayern...timu hzi zina uwekezaji mkubwa sana na znatumia hela nying....kwa vyovyote vile lazma wakinbizane na matokeo ya uwanjani every minute.....
Yaani kichwa changu kinapata sana Moto nikianza kuifikiria hii timu
Nimepoteza imani na Ole nasubiri tu aniprove wrong..