Kwa timu yetu hii inavyocheza sasa hivi, ni wazi kuwa hatuna mahitaji makubwa sana ya kusajili kama ambavyo mou alitaka kutuaminisha, eti centre back, kila kukicha centre back, huyo toby angekuja kuongeza nini cha ajabu?? Tena kwa 75???, kama ni centre back alete koulibaly ile ya napoli pale, kweli tutakua tumeleta centre back, alikua anashawishi pogba na martial wauzwe, eti sanchez nae auzwe january, mou angetushusha daraja jamani!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ku disrespect wengerOle is another wenger in epl
Mashabiki wa United acheni kulalamika na kulaumu ovyo ovyo, ni uzwazwa kulalamika na kulialia kila wakati
Ole is another wenger in epl
Tangu nimeanza kumfuatilia Wenger sijawahi kuona akifundisha timu ikacheza hovyo kama hii MUFC ya Ole. Umemdharau sana Wenger. |
Aliamua ye mwenyewe kuibana timu uwanajani na kuwanyima uhuru wachezaji wake, aliwataka kukaba zaidi kuliko kushambulia.
Now timu inacheza, tunaiona Man United tuliyoizoea, timu inacheza, inafunguka mno uwanjani.
Old t inarudi kuwa uwanja wa machinjioni.
Ndani ya dakika 30 timu inatakiwa kutupa uhakika wa ushindi.
Mpira huu unaochezwa sasa utakuwa na faida kubwa kwa Pogba na Sanchez.
Mabadiliko kwa Rashford anajituma sana uwanjani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Tulichelewa sana kumfukuza mou,sio kwa raha hizi toka kwa 20legend.
Mpira mzuri na ushindi juu. Vilevile burudani toka kwa labile 6.
GGMU.
huu mdajala ushafungwa jana mkuu acha kudanganya jamii KDB ni machinePogba ni zaidi ya KDB huo tuache mzaa.
Ole is another wenger in epl
Sicheki kama vile ni mazuri ila nikipitia hizi comments napata hasira dhidi ya kocha huyu.
wanaosema ni mateja wa man u mkuu.
Hana mambo ya kiboshoo.
Carragher alisema watu wanadai Pogba hajapata mtu wa kumfanya acheze free,sasa akawa anajiuliza huo ufree unaozungumziwa ni wa aina gani? Yani asikabe wala kutafuta mpira akae tu au?
Pogba hadi anamaliza soka lake watu wataendelea kusema hivyo hivyo hajapata mtu wa kumfanya acheze free.
Mkuu nakuomba ufute hii kauli,Haiwezekani umfananishe Mzee Wenger na upuuzi kama huu Kocha aliyeishusha daraja Cardiff city unamfananisha na World Class ManagerOle is another wenger in epl
kwaiyo mtu mwenye UEFA 5 unajilinganisha nae?
Barcelona imefungwa hamna kelele kabisa, subiri MUFC ifungwe au isuluhu kelele zake.
Pogba anaweza kuja kumzidi Iniesta kwenye ufungaji wa magoli aisee