Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nawakumbusha Arsenal

IMG-20181230-WA0018.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi kwanini ile timu ya Mourinho ilikuwa aiwezi kupiga pasi Kama hivi sasa na wachezaji walikuwa wazito ile mbaya
 
Ile red tungepata kipindi cha Mou nawaambia tungechoka kukaba kuanzia wachezaji mpaka mashabiki, ila sasa hivi wachezaji wamerelax wanaposess mpira kama hatupo pungufu . Mechi nyingine lini jamani sipendi kukaa mda mrefu bila kuangalia hii timu ikicheza.
Hizi goli tulizisahau zilikua mara moja kwa msimu ndo mnafunga goli tatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliamua ye mwenyewe kuibana timu uwanajani na kuwanyima uhuru wachezaji wake, aliwataka kukaba zaidi kuliko kushambulia.

Now timu inacheza, tunaiona Man United tuliyoizoea, timu inacheza, inafunguka mno uwanjani.

Old t inarudi kuwa uwanja wa machinjioni.

Ndani ya dakika 30 timu inatakiwa kutupa uhakika wa ushindi.

Mpira huu unaochezwa sasa utakuwa na faida kubwa kwa Pogba na Sanchez.

Mabadiliko kwa Rashford anajituma sana uwanjani.
hivi kwanini ile timu ya Mourinho ilikuwa aiwezi kupiga pasi Kama hivi sasa na wachezaji walikuwa wazito ile mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ile red tungepata kipindi cha Mou nawaambia tungechoka kukaba kuanzia wachezaji mpaka mashabiki, ila sasa hivi wachezaji wamerelax wanaposess mpira kama hatupo pungufu . Mechi nyingine lini jamani sipendi kukaa mda mrefu bila kuangalia hii timu ikicheza.
Hizi goli tulizisahau zilikua mara moja kwa msimu ndo mnafunga goli tatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tarehe 2 mwezi wa kwanza 2019.
 
Back
Top Bottom