Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
Umeandika mwenyewe au kuna mtu umempa password?Wacha tufungwe Ole alifanya kosa kubwa kumuuza Lukaku bila kusajili mshambuliaji mwingine
Umeandika mwenyewe au kuna mtu umempa password?Wacha tufungwe Ole alifanya kosa kubwa kumuuza Lukaku bila kusajili mshambuliaji mwingine
Haha kweli hata mimi naamini timu yetu bado sana kuipa nafasi ya ushindani epl .
Ligi ikianza ndiyo tutajua kama tuna team ya ushindani au lah.
Leo nimefuatilia you tube highlits za pre season ya team yetu.nilichokiona ni kwamba.
1 man u ya sasa na ya msimu uliopita ni ile ile.
2 tofauti iliyopo ni kwamba ndani ya kikosi kuna Daniel James na Wana Bissaka.
3 Pogba mtoa maboko ni yule yule tu hivyo tutegemee maboko mengi zaidi msimu.
4 msimu ujao tutapokea vipigo vingi kuwahi kutokea.
5 goli la Phil Jones huenda likasababisha Maguire asisajiliwe.
6 Rashford na Martial walishakamilisha ndoto zao hivyo hawana haja ya kupambana tena.
Wapambanie nini wakati wako kwenye kilele cha mafanikio ?
7 Top six wa msimu uliopita wote watatufunga msimu ujao nje ndani .
Tujiandae kisaikolojia.
Sio unabii, ila nilivyoona hakuna replacement ya Ander Hererra. Nilishahisi tatizo.We unaweza kuuza lukaku sanchez na herrera halafu ukabaki salama? Namba zao anaziba rashford lingard na martial ukijuosha wote wana goli za lukaku
FOUR wins in TWENTY games.
He is in the wheel guys






View attachment 1213639
Kwa staili hii kupata ushindi ni ndoto
Man u polen sana
Na nyie hamna kocha kama sisi au wachezaji uwezo mdogo?
Ipo siku Phil Jones au Rojo atacheza center forward
Unauza Lukaku, unakopesha Sanchez halafu hufanyi replacement




Rashid leo ajafunga mkuuKwa sasa hata 6 imetukimbia,maisha yanakasi sana aiseeTupo nafasi ya saba kwenye msimamo wa ligi
Mi binafsi nishaanza izoea hii nafasi
This is oleeeeeeFOUR wins in TWENTY games.
He is in the wheel guys
Wacha unoko
Sio unabii, ila nilivyoona hakuna replacement ya Ander Hererra. Nilishahisi tatizo.
Kama dirisha la usajili litafungwa hatujafanya usajili zaidi ya kina Bissaka tutapigwa sana tu
radika bado vipi umeona tunakoenda ?Hizi imani sio