Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Watashinda. Soton wamekula umemeWazee wa droomsipo toa droo bc ni kichapo
Watashinda. Soton wamekula umemeWazee wa droomsipo toa droo bc ni kichapo
Sometimes huyo huyo aliekula umeme anakuzidi na kukufungaWatashinda. Soton wamekula umeme
Aiseeee hii game ikitoka draw hali itachafuka Carrington.Sometimes huyo huyo aliekula umeme anakuzidi na kukufunga
Lingard ndo yuko vizuri?Game ikiisha kuna watu wataendelea kusema kwamba wachezaji wa United wanamwangusha Pogba
Pereira hayupo vizuri, Lingard should come in for him

Na ushindi convincing wanapataChelsea waliofungiwa kusajili wana mpira mzuri kuliko United.
Lukaku ameuzwa apewe yeye nafasi.Tuwe wakweli tuacheni ushabiki,hata kama hatuujui Moira,hivi ole anategemea nini kutoka kwa rashford?
Watakuja watu watakwambia ukimuangalia kwa jicho la 3 anaujua,sasa kila mchezaji wa man utd lazima tumuangalie kwa jicho la 3 tutambue kama anajua ama la wakati wapinzani kwa macho 2 tu unaona wanakusudia nini.
Hata hapa jamvini patachafuka sana mkuuAiseeee hii game ikitoka draw hali itachafuka Carrington.





Ndo imeshatoka draw.Aiseeee hii game ikitoka draw hali itachafuka Carrington.
Pobga tulipigwa mkuu
Hivi Pogba anafanya makusudi au ndio kiwango chake?
Binafsi sijawahi kuamini kama Pogba ni mchezaji mzuuuri kama anavyopambwa na baadhi ya wapenda soka.




Hatari sana mkuu, I am telling you. Hawa jamaa wajiandae kisaikolojia this season.Hata hapa jamvini patachafuka sana mkuu