Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tuwe wakweli tuacheni ushabiki,hata kama hatuujui Moira,hivi ole anategemea nini kutoka kwa rashford?
Watakuja watu watakwambia ukimuangalia kwa jicho la 3 anaujua,sasa kila mchezaji wa man utd lazima tumuangalie kwa jicho la 3 tutambue kama anajua ama la wakati wapinzani kwa macho 2 tu unaona wanakusudia nini.
 
Tuwe wakweli tuacheni ushabiki,hata kama hatuujui Moira,hivi ole anategemea nini kutoka kwa rashford?
Watakuja watu watakwambia ukimuangalia kwa jicho la 3 anaujua,sasa kila mchezaji wa man utd lazima tumuangalie kwa jicho la 3 tutambue kama anajua ama la wakati wapinzani kwa macho 2 tu unaona wanakusudia nini.
Lukaku ameuzwa apewe yeye nafasi.

Inasikitisha sana.
 
Back
Top Bottom