Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nadhani jamaa anafanya kwa vitendo kuwa hataki kuwa hapa maana anafanya makusudi tu humu ndani.

Washabiki msiokua na shukrani. Sijui unataka pogba awafanyie nn mkubali mchanga wake. Kila siku mnamlaumu tu. Hivi hamuoni nafasi Pogba anayopangwa saivi ni tofauti na aliyokua akicheza Juventus na Ufaransa. Sasa mtu anacheza deep midfield kazi yake kubwa ni kupeleka mashambulizi mbele kama long pass tunazoona anatoa na assists. Sasa ww shabiki umekaa kibanda umiza huko badala ya kureason kwamba Pogba anacheza nafasi ambayo sio yake unakimbilia kutoka lawama tu.
Kila siku Pogba Pogba anazingua hamchoki kumsema huyu mtu vibaya.
 
Pogba auzwe dirisha la January. Moyo wake haupo tena Man u. Anacheza ili mradi dk zisonge
Ukimuuza Pogba umekufa..hapo katikati, jamaa linajua sana kumiliki mpira na kupeleka timu mbele. Ukitaka kujua umuhimu wa Pogba angalia akipoteza mpira inavyokuwa hatari kweye lango letu. Hakuna mwingine wa ku-block. Ile mechi ya CP angalia alivyopoteza tukapigwa.
 
Pogba anazingua kinoma anapoteza mipira sehemu hatari

Kupoteza mipira tu ndo unaona. Build up ya timu anayofanya huoni ? Au. Mapenzi aliyonayo Pogba kwa united ni makubwa kuliko hata wewe uliyonayo kwa United. Msipende kumsingizia huyu jamaa kila siku moyo wake haupo haupo united. Kumbukeni he had a chance to go to Barcelona and Madrid the top clubs in the world ila akaamua kuja united inayoshiriki Europa na isiyoeleweka. Jamaa ana mapenzi makubwa sana na hii timu na katokea academy ya Manutd sasa hapo nyie vishabiki mandazi ndo mnajifanya mna mapenzi na timu kuliko Pogba kila siku mbasema anacheza tu bila moyo. Hivi unajua critism ambayo Pogba amepata tokea mwisho wa msimu uliopita hadi transfer window yote na juzi hapa kafanyiwa Racism kubwa sana. Ila jamaa kavunga anaendelea kuitumikia klabu anayoipenda maana angeamua kuondoka angeenda tu Madrid as long as Raiola anaingiza pesa.
 
Washabiki msiokua na shukrani. Sijui unataka pogba awafanyie nn mkubali mchanga wake. Kila siku mnamlaumu tu. Hivi hamuoni nafasi Pogba anayopangwa saivi ni tofauti na aliyokua akicheza Juventus na Ufaransa. Sasa mtu anacheza deep midfield kazi yake kubwa ni kupeleka mashambulizi mbele kama long pass tunazoona anatoa na assists. Sasa ww shabiki umekaa kibanda umiza huko badala ya kureason kwamba Pogba anacheza nafasi ambayo sio yake unakimbilia kutoka lawama tu.
Kila siku Pogba Pogba anazingua hamchoki kumsema huyu mtu vibaya.
Ufaransa alikuwa anacheza deep lying playmaker sawa na nafasi anayochezeshwa Sasa Hivi na Ole.
 
Back
Top Bottom