Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Barca want to offload Umtiti ,they are working hard to sign De Ligt
nisivyowapenda wachezaji wa kiingereza kila ninaposikia tetesi za maguire hutamani niwe CEO wa man utd kama jamaa yule anavyotamani malaika wa mitandao ateremke.

licha ya kuwa umtiti ana rekodi ya kupata majeruhi kwangu mimi namuona ni bora kuliko maguire na varane
 
nisivyowapenda wachezaji wa kiingereza kila ninaposikia tetesi za maguire hutamani niwe CEO wa man utd kama jamaa yule anavyotamani malaika wa mitandao ateremke.

licha ya kuwa umtiti ana rekodi ya kupata majeruhi kwangu mimi namuona ni bora kuliko maguire na varane

Man utd ndio imekuwa klabu kubwa ya ndani ya epl kuwakumbatia wachezaji wengi wa kiingereza na michango yao huwa ni karibu na sifuri tu.
 
Kocha yyte yule mwenye uwezo wa kuchukua makombe football is all about trophies sio kama livapool wanaofurahia hugging.

Unamuondoa kocha mwenye makombe 27 kwenye carrier yake unaenda kumchukua kocha aliyeishindwa hata Cardiff city.
Ile timu hata angepewa Zidane au Pep au Mourinho wangeshindwa tu
 
Mkuu ingawa wachezaji wa kiingereza huwa wanamatatizo haswa ya kushindwa kucontrol umaarufu wao, nawatamani sana wan Bissaka,sancho na Declan Rice tu they have a bright future.
nisivyowapenda wachezaji wa kiingereza kila ninaposikia tetesi za maguire hutamani niwe CEO wa man utd kama jamaa yule anavyotamani malaika wa mitandao ateremke.

licha ya kuwa umtiti ana rekodi ya kupata majeruhi kwangu mimi namuona ni bora kuliko maguire na varane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu inaonekana unaijua United kuliko class of 92

tupe updates za usajili tujue kabisa kuliko kuwa frustrated wakati ukifika

cc Giggs
mkuu class of 92 si ndio hao mizinguo baadhi ya nyakati.
nilikuwa namsoma phil neville amependekeza kikosi chake cha msimu ujao nafasi ya matic izibwe na dier wa tottenham.
winga wa kulia awe gareth bale
striker awe marcus rashford.

takribani wote uingereza unawasumbua mpaka kwenye ishu ya ukweli na ugonjwa huu wamerithishwa na baba yao sir alex ferguson licha ya kuwa baadhi ya nyakati alikuwa hanasi kwenye mitego ya kijinga.

  • kuna nyakati waingereza walituaminisha jack rodwell ni mtu sahihi wa kuziba nafasi ya paul scholes, almanusura fergie awape everton paundi millioni 30, alikwenda man city akakutana na watu wagumu kama yaya toure kukamshinda
  • kipindi jordan henderson anacheza sunderland walituaminisha jamaa anafaa kuwa mrithi wa baadae wa michael carrick.
  • unamkumbuka alan smith kutoka mshambuliaji mwenye ukame kuliko wa kenya hadi kiungo wa kati anayeziba nafasi ya roy keane, Amecheza mechi 61 na kufunga magoli 7
  • unamkumbuka marehemu liam miller winga wa kulia
  • tokea nipende kwangu mpira sijawahi kushuhudia wachezaji wenye viwango kama vya wes brown, john oshea, darren fletcher, chadwick wakacheza timu kama barcelona, madrid, milan, munich kwa muda mrefu.
katika hizo target za OGS alizopendekeza naomba asiwemo muingereza hata mmoja, waingereza pekee ninaotamani wawepo ni wale wanaotokea academy ya klabu kama vile mctominay, gomez, gardner, norwood n.k na wasipewe mikataba ya kufuru ya fedha.
 
Hii manure uongoz wake ni kama wa yanga mkuu. Ole Guna Soksi iliyojaa kawashika masikio na kuishia kumwamini na kumpa timu. Ngoj tuone atafanya nin..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huyu Ole Soksi nakuhakikishia atafukuzwa kazi kabla ya Christmas msimu ujao............. hakuna kocha hapo zaidi ya kujikombakomba kwa kina Pogba, Rashford tu
 
thanks nilikuwa sifahamu.
kuhusu Matthijs de ligt watapata upinzani kutoka kwa barcelona kwa sababu gerard pique umri wake ni mkubwa halafu mustakabali wa samuel umtiti haujajulikana.
De ligt ,ni swala la barca tu kuamua .dogo huyu mzuri sana,on top of that ni true leader.

Hapo kwa umtiti, timu itakayomchukua ni gamble imefanya
maana jamaa katoka kwenye serious injury, inawezekana pia ni injury prone (hapa ndipo unamhitaji mtu anaejua mpira kufanya maamuzi)

Otherwise ni usajili mzuri(top defender with a potential to became world class, and world cup winner).



Sent using simu mbovu
 
OGS leo kwenye interview kasema kishawaambia viongozi wachezaji anaowataka na atawapata before pre season
pre season ni mwezi July.
dirisha linafungwa kabla ya ligi haijajanza.
ed woodward hana uwezo wa kuleta wastani wa wachezaji wanne kabla ya july 1 kwa kutumia rekodi za madirisha yaliopita.
labda tuanze kufanya negotiations kuanzia sasa kama wanavyofanya timu nyengine.

kama kutakuwa na mchezaji yeyote maarufu anayetaka kusajiliwa mfano wa gareth bale lazima tetesi zake zitangazwe zaidi ya wiki mbili, huyo ndio ed woodward ninayemfahamu mimi.

ngoja tuone pengine sipo sahihi
 
Manchester United imekufa rasmi sasa nimeamini...............Mmefanya second worst decision tena kwa Mara yingine Baada ya ile ya Mourinho mmekwisha Dah
 
pre season ni mwezi July.
dirisha linafungwa kabla ya ligi haijajanza.
ed woodward hana uwezo wa kuleta wastani wa wachezaji wanne kabla ya july 1 kwa kutumia rekodi za madirisha yaliopita.
labda tuanze kufanya negotiations kuanzia sasa kama wanavyofanya timu nyengine.

kama kutakuwa na mchezaji yeyote maarufu anayetaka kusajiliwa mfano wa gareth bale lazima tetesi zake zitangazwe zaidi ya wiki mbili, huyo ndio ed woodward ninayemfahamu mimi.

ngoja tuone pengine sipo sahihi

Sasa mpk kocha kasema atapata wachezaji anaowataka kabla ya pre season unajuaje kama hawajaanza kushughulikia hilo tayari? Bila hivyo asingesema mbele ya waandishi alipoulizwa
 
Kocha yyte yule mwenye uwezo wa kuchukua makombe football is all about trophies sio kama livapool wanaofurahia hugging.

Unamuondoa kocha mwenye makombe 27 kwenye carrier yake unaenda kumchukua kocha aliyeishindwa hata Cardiff city.

So wewe mkuu unaamini mtu akifanikiwa basi ndo hawezi kuja kufeli? yaani kama mfano mtu alishawahi kushinda makombe basi hatokuja kufeli tena?Au kama aliwahi kufeli hko nyuma basi hawezi kufanikiwa baadae sio?
 
Mkuu ingawa wachezaji wa kiingereza huwa wanamatatizo haswa ya kushindwa kucontrol umaarufu wao, nawatamani sana wan Bissaka,sancho na Declan Rice tu they have a bright future.

Sent using Jamii Forums mobile app
siwapendi kwa sababu wanapewa thamani kubwa sana kinyume na uwezo wao kuanzia price ya kusajiliwa hadi mishahara wanayolipwa.
hivi kweli sancho ni mchezaji wa kuwa na thamani ya 100 million paundi?
ni bora nimsajili majeruhi marco reus na douglas costa kwa wakati mmoja na chenji ikabaki benki kuliko sancho mmoja.
ndivyo ninavyoamini kiupande wangu.
kuhusu bissaka sijamtaja kwa sababu sidhani kama klabu itakuwa na mpango wa kutafuta mlinzi wa kulia
 
Back
Top Bottom