Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United timu imeishiwa Ambition kabisa mnampa timu huyu msimamizi wa mazoezi aliyeishusha Cardiff daraja atawasaidia nini nyie
 
nyie mliyokuwa kwenye better decision tunaona mnajizolea makombe tu kuanzia 2012 mpaka sasa
Poleni sana Manchester United imeshakuwa timu ya long terms project all over mmekwisha mmebakia kuwa timu ya Cheap cheap cheap option 😂😂😂😂😂
 
Ole Soksi out banners flying by Christmas
Siku kama ya leo next season Ole Soksi atakuwa ameshakuw Sacked
Manchester United timu imeishiwa Ambition kabisa mnampa timu huyu msimamizi wa mazoezi aliyeishusha Cardiff daraja atawasaidia nini nyie
Mpaka sasa Ole Soksi ana 4/5 ya kufukuza kazi Next season kabla ya Christmas
Manchester United imekufa rasmi sasa nimeamini...............Mmefanya second worst decision tena kwa Mara yingine Baada ya ile ya Mourinho mmekwisha Dah
How is possible? Liverpool fan kuumia ,sababu ya makosa ya maamuzi yaliyofanywa na Manchester united.

Sent using simu mbovu
 
How is possible? Liverpool fan kuumia ,sababu ya makosa ya maamuzi yaliyofanywa na Manchester united.

Sent using simu mbovu
Masikini mmeshakubali kuwa mashabiki wa Long term project 😂😂😂😂
 
Mlichokifanya ni sawa na ku- upgrade version mme- upgrade version ya David Moyes
 
UMtiti ataenda utd
Bora haya mazungumzo yakwame, simkubali umtiti, bora aje kwenu
IMG-20190328-WA0025.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
How is possible? Liverpool fan kuumia ,sababu ya makosa ya maamuzi yaliyofanywa na Manchester united.

Sent using simu mbovu

Achana nae hyo mzee atakupotezea muda tu,Yake yamemshinda sahv amebaki kufatilia timu za wengine, sahiv Liverpool wakichemka sijui utakuwa unaenda mwaka wa ngap hawajabeba kitu na kocha wao Katuni yule.
 
Solskjær can't fix United alone; a director of football is still a must
nilichowapendea manchester city ni ule mpango wao wa kumtafuta DOF anayeendana na mikakati yao ya baadae kisoka, hata alipokuja josep guardiola ilikuwa ni rahisi zaidi kwa soriano na kocha mkuu kufanya kazi kwa pamoja kwa sababu kwanza wanafahamiana tokea catalunya.

pale chelsea tulishawahi kushuhudia mgogoro mkubwa wa kimaslahi kati ya jose mourinho na DOF.
real madrid tulishawahi kushuhudia mgogoro kati ya jose mourinho na DOF aliyekuwa anaitwa jorge valdano.

mara nyingi tumeona DOF anapoletwa mwanzo ndani ya klabu anataka awe ndio ubongo wa kocha mkuu kama ilivyokuwa chelsea na real madrid nyakati za jose, kinyume chake ni hivyo ni kwamba kocha naye anataka awe na sauti kuliko DOF.

miaka ya zamani tulishuhudia kazi nyingi zikisimamiwa na makocha wakuu (manager) tofauti na nyakati hizi ambazo kwa kiasi kikubwa sana majukumu yamekuwa yagiwanywa pande mbili (kocha na DOF/ TD).

nadhanii kuna umuhimu wa kuongezwa mtu wa tatu ambaye ni assistant coach awe ni kama kiunganishi kati ya DOF na benchi la ufundi, nakusudia kusema awe ni muhusika wa maswala ya mazoezi, technical plan pamoja na kureview scouting report.
wapo DOF wengine uelewa wao wa mpira ndani ya uwanja ni mdogo ukilinganisha na makocha waliocheza na kufundisha mpira.

hii kazi ingelimfaa zaidi mike phelan kiupande wangu, carrick na mckena wabaki kuwa ni makocha wasaidizi wa OGS, huku phelan akiwa kama ni sikio jengine la gaffer kwa nyakati hizi ambazo mzee fergie bado yupo hai napata imani uwepo wake na phelan utakuwa ni msaada mkubwa kwa OGS.

je ujio wa DOF/ technical director atakuwa na uhuru wa kufanya maamuzi mema juu ya klabu au bwana atabaki kuwa glazer family?
 
Achana nae hyo mzee atakupotezea muda tu,Yake yamemshinda sahv amebaki kufatilia timu za wengine, sahiv Liverpool wakichemka sijui utakuwa unaenda mwaka wa ngap hawajabeba kitu na kocha wao Katuni yule.
😁😁😁😁😁 naongoza ligi ,Uefa mpaka sasa ni kama nipo semifinal......... wewe hiyo timu yako kama kikundi chako wapika gongo wa yombo vituka mnajipya gani?? Wagalatia nyie
 
Sasa mpk kocha kasema atapata wachezaji anaowataka kabla ya pre season unajuaje kama hawajaanza kushughulikia hilo tayari? Bila hivyo asingesema mbele ya waandishi alipoulizwa
anaposema atawapata kabla ya pre season ina maana ana uhakika jambo ambalo si kweli kwa kuangalia rekodi za sajili tulizofanya miaka iliopita na hii ndio hoja yangu.

haya ndio maneno aliyoyazungumza OGS.

We’ve already talked to some agents, I want players before preseason, no complacency, everyone needs to be fit.”
 
Back
Top Bottom