buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
Hahahahaaaa
Nieleweshe anasemaje?
Hahahahaaaa
Kitakua kichawi hiki ki lingard sio bure mkuu maana hata mbele uchawi upo,tusubiri siku yake ya kufa itafika tuuUkirudi misimu 10 nyuma tulikuwa na number 10 bora kuliko Lingard. Na mchango wao uwanjani unaonekana.
Sio huyo Lingard wa kumuangalia kwa jicho la 3.
Hovyo kabisa.
Bora wazingue wengine inaleta matumaini lakini sio huyo lingard,Yani mechi nzima unaweza kuta kagusa mpira mara 5;mbili kati ya hizo mpira umemgonga sasa si bora pogba apokonywe ila kazi nzuri tunaiona sio huyo wa kukimbia kimbia tu uwanjaniNa uyo degea goal anazo fungwa nae waku muangalia vzur c o lingard t kuna kna pogba cjui lindelof Rashid uyo martial wte waznguz t c o wapambnaji
Hata ole alikua kocha wa vijanaPogba anaweza kuwa ni mchezaji mzuri lakini mimi uwa namshangaa sana uwajibikaji wake uwanjani, kupoteza sana mipira halafu kutembea.
Kwakweli kiwango anacho ila ili ashine anahitaji waliomzunguka wajitume haswaa.
mpira kitu cha kwanza kocha mzuri wa uhakika sio kufanya majaribio, aaminiwe halafu inafuata usajili.
angalia liverpool na man city unaona kabisa kocha anahusika kwenye usajili.
liverpool waliingia mikenge sana miaka ya karibuni alipoondoka Rafa kabla ya kumpata Klopp. ona tu rafa alivyopambana newcastle haina usajili wa maana sasa ile itashuka ile.
sasa manchester kama kweli kuwaamini kina ole basi walau ingekuwa kama barca yani mtu alikuwa kocha wa vijana anapandishwa kupokea mikoba ya fergi.
hivi ilivyo, hakuna namna hapa lazima aletwe kocha mzuri ndipo tujadiliane mengine
Anakaba na kuutafuta sana. Kujituma kwake ndio silaha yake kuu..
Natamani kweli jamaa atuambie hatari ya bila kua na mpira
Kukaba sio main role ya Lingard sasa mnapomsifia kwa kuhangaika mpira ukipotea inamaana Lingard ni Box to Box Mid au? Forward hatumii nguvu nyingi kukabaAnakaba na kuutafuta sana. Kujituma kwake ndio silaha yake kuu
Usikariri mpira, Kuna kipindi firminho alikuwa anapewa role hio Liverpool na alikuwa Ni false 9 kabisa,Kukaba sio main role ya Lingard sasa mnapomsifia kwa kuhangaika mpira ukipotea inamaana Lingard ni Box to Box Mid au? Forward hatumii nguvu nyingi kukaba
Umeeleweka chiefMkuu lingard kwa Ferguson alikuwa anaitwa ji Sung park,Huyu jamaa kwenye mechi 204 ana goli 28 na assist 29 tu. Kwa msimu anakupa goli 6 ama chini ya Hapo na assist hivyo hivyo. Ila goli zake Ni muhimu na kwenye mechi kubwa zaidi ana umuhimu zaidi.
Lingard yupo hivyo hivyo, unafahamu mkuu makombe yote ya ligi tuliocheza Wembley Ni lingard alietupa?
1. Fainali dhidi ya Crystal palace Ni lingard aliefunga goli la ushindi na tukachukua kombe Wembley
2. Fainali dhidi ya Southampton Ni lingard kafunga goli la ushindi na kuchukua kombe wembley
3. Fainali ya community shield Ni lingard kafunga goli la ushindi dhidi ya Leicester Wembley.
Hajafunga fainali dhidi ya Chelsea tu, so fikiria tunacheza fainali 4 mchezaji mmoja anafunga fainali 3 Tena goli la ushindi huoni Mchango wake?
Ukitoa Hapo pia jamaa anafunga Sana big matches,
Jamaa ana goli 17 tu premier league lakini goli 6 Ni against top teams Kama Arsenal, Liverpool na Chelsea.
Wewe unamuona mbaya sababu Hana mtu wa kurotate nae Ila jamaa sio mbaya Kama mnavyosema, na hizo stats zinazosemwa kuhusu jamaa kuto perform toka 2019 ianze ukumbuke lingard aliumia mara 2 Kama sio 3 kipindi Hiko.
Usikariri mpira, Kuna kipindi firminho alikuwa anapewa role hio Liverpool na alikuwa Ni false 9 kabisa,
Carlos tevez 2008/09 ligi ya Uingereza kafunga goli 5 katika mechi 29, Ila still tulikuwa tunamuona mchezaji bora, kwanini? Sababu alikuwa Ni fighter muda wote anasaidia midfield yeye na Rooney, na hayo yanakuwa Ni maelekezo ya Kocha.
Refer Pia ji sung park, 2007 man UTD walikutana na AC Milan tukatolewa nusu tulifungwa 3-0 kule Italy, baadae tulivyokutana nao Tena hao AC Milan Fergie akampanga ji sung park amkabe Andreas pirlo, wote tunajua pirlo Ni deep lying playmaker anakaa na mabeki nyuma Kama defensive midfielder lakini anafanya Mambo yake, ili umkabe huwezi tumia defensive midfield wako inabidi utumie mchezaji mwengine, ndio akawekwa Hi sung park, alikuwa anakaba mpaka kivuli, tunawafunga AC Milani 4-0. Huyu park anacheza Kama lingard Attacking midfield RLC, strength yake kubwa Ni kukaba na stamina, anakimbia dakika zote 90.
Hivyo usikariri mpaka mchezaji awe box to box ndio akabe.
Ndio misimu miwili tofauti, na nimesema Hapo juu tulitolewa,Kuhusu hayo matokeo ya Man U vs AC Milan umekusudia misimu miwili tofauti ama?
Coz 2007 nakumbuka ilikuwa
Home: Man U 3 - 2 AC Milan
Away: AC Milan 3 - 0 Man U
Hii ni klabu yangu ninayoipenda...no matter what lazima niisapoti..wewe ulitaka nifanyeje??BDO una ma2main nao mkuu
Anaandika kama beki tatu vileHii ni klabu yangu ninayoipenda...no matter what lazima niisapoti..wewe ulitaka nifanyeje??
Kitu kingine,andika kama mtu uliyeenda japo shule ya msingi..
Mkuu unataka uniambie hiyo ndio tafsiri ya speech ya the king au?Mr. P & Mr.J----Awards.
Mr. P "Hawa Mabwana wamechukua Zawadi sana,Wametawala sana,kila siku wao tu,Tumewachoka sasa.Tunataka sura Mpya"
Mr.J "Lakini kwa sasa sioni Mtu wakuwavuta shati,Naona Mtu Mita kumi kurudi nyuma,kama wanauwezo wapewe hata Miaka 20"
Mr.P " Hawana jipya saizi,yote Marudio,Wakae pembeni,Hapa tunataka sura mpya..Over."
Mr.J "Basi na iwe hivyo..Over"
"I love Football"
Mkuu jaribu kutumia lugha ya ustarabu kidogo sisi wote huwa tunatania sana humu lakini huwa hatutumii lugha hizi.SUTON kuna hawa wamama vinyeo vyao
holjberg ni moto kuliko pogba.
Romeo ni balaa
pogba anaf+*lwa
kweli kabisa mkuu jamaa anaanza usenge wake ku.*****Mkuu jaribu kutumia lugha ya ustarabu kidogo sisi wote huwa tunatania sana humu lakini huwa hatutumii lugha hizi.
Mkuu nakubaliana na wewe kwamba traditionally/kwa kasumba, main role ya namba 10 ni kutengeneza nafasi za kufunga na kufungaKukaba sio main role ya Lingard sasa mnapomsifia kwa kuhangaika mpira ukipotea inamaana Lingard ni Box to Box Mid au? Forward hatumii nguvu nyingi kukaba