radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
Hatuwezi kushinda kila mechi mkuu. Hata hao City na Liver wanafungika
Mkuu tunazungumiza makosa tunayofanya ktk post zangu hamna nipopost nimechukizwa na ile drooo sema ningechukia kama tungecheza hovyo nimependa uchezaj wa jana nimekasirishwa na martial kawekwa central striker anacheza kiulegevu tu anapoteza mipira first touch hakuna hapo tu