Mkuu ni ngumu sana kuamini unachoongea, kiufupi upo kama kinyonga
Hata hiyo ahadi yako ya kutoingia kwenye huu Uzi Rash akifikisha goli 15 msimu huu ni ahadi ya kufurahisha genge tu. Maana mpaka sasa ana mechi zaidi ya 40 na zimebaki goli 13. Nakukumbusha pia msimu huu, atapewa penati nyingi zaidi kupiga
Juzi juzi ulisema Wan Bissaka mbovu na Harry Maquire mbovu. Leo ghafla unasema beki ya Man U ipo vizuri. Kama sio Harry na Bissaka nani wanaoifanya beki ya Man kuwa nzuri, Youngy na Rojo?
Embu tulia, kunywa maji, kisha relax. Haya sasa unaweza kuja na uchambuzi usio na bias.
Kama timu iliyokufunga 4-

unasema haina forward nzuri je yenye forward nzuri itakupiga ngapi?