Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,411
- 7,306
Kwani matokeo ni ngapi ngapi wadao bila shaka point 3 tumeweka kibindoni
Kwani matokeo ni ngapi ngapi wadao bila shaka point 3 tumeweka kibindoni
Hatuwezi kushinda kila mechi mkuu. Hata hao City na Liver wanafungikaKuna mtu alinibishia sana kwamba lukaku kuuzwa ni sahihi nafikir kajionea leo
Martial hawez kuwa striker bado anasumbuka kucontrol mpira anapoteza hovyo mipira ni bora kubak na lukaku anaweza kukupa msaada mipira ya vichwa kuliko kubak na mtu wa kudrible
Hawa mashabiki wenzetu nikiwawazi siwasomi. Timu iliimprove, kuna matatizo yanapaswa kuwa addressed lakin ni jambo la kimpiraSaizi tu tumeanza kulala mika?.
Safari ndo kwanza imeanza tutunze malalamiko bado mapema.
Umechambua vizuri, hauna punic, n shabiki halisiMechi ya leo tumecheza vizuri
Tumetengeneza nafasi za kutosha japo tumeshindwa kuzitumia
Naona United iliyoboreka ukilinganisha na ile iliyopigwa na Wolves msimu uliopita
Bado sijaelewa kazi ya VAR, mchezaji wa Wolves alizidi mkono wakati anatoa pasi ya goli
Kukosa penati ni jambo linalovumilika kwa mchezaji katika soka, swali ni je Pogba ameng'ang'ania kupiga penati wakati si mteule wa kocha au?
Hapa naona vidudu mtu wengi wanazengea zengea, lakini amini nakwambia katika big six timu itakayochukua pointi angalau 1 nyumbani kwa Wolves basi hao ni wanaume
By the way, Uwanja uliinama
GGM
It a draw actually. but sion kama ni mbaya maana wolves hawa hawa walimnyonya macho man city. Arsenal.. chelsea. Ni timu inayotafuna vigogo siku zoteAsante Wolves kwa kutoa betri kwenye radio cassette.
Binafsi nina machache ya kuzungumza..
1.Sikubaliani na Kocha kumchezesha Martial kama striker..jamaa hajitumi vya kutosha..out of 3 open chances huwa anafunga moja..au asifunge kabisa! He's not good enough kumuamini..ni mara mia Rashford acheze pale mbele.!
2.Lingard hamna kitu pale kabisa!! Sijajua kwann mpk leo anacheza zaidi ya dk 70.
Adreas pereira ni bora kuliko yeye..maana hata kwny ggame ya Chelsea alitoa assist moja nzuri..huyu lingard dahh!! Hamna kitu.
3.Kocha amrudishe Daniel James kwenye position yake(hii ni mara ya tatu nasema)..dogo hayupo comfortable kwenye RW..hata yeye alishaaema amezoea kucheza LW!
4.Back 4 yetu iko vizuri pia DeGea yuko poa..sina shida nao.
5.Wakati umefika ss FRED arudi kikosini..tuone uwezo wake msimu huu..maana Scot anajitahidi ila hes not YET good enough to create a good partnership with POGBA.
6.Kuhusu pogba kukosa penalt;Takwimu zinasema Pogba ndo mchezaji aliyekosa penalties nyingi(4) tangu msimu uliopita uanze...je wakuu mnahisi ni wakati muafaka kumtumia Rashford kupiga penalt!?cuz sijawahi kuona akikosa so far..
Mwisho; Wolves ni wagumu sana wakiwa kwao..tumejitahidi kuoata point moja BUT we DESERVED MORE!! we deserved all 3 points basi tu Attackers wetu hawakuwa makini..
GGMU GGMU
Still lingard is worse kulingana na options zilizo kwenye soko.
He's not a United Standards.
Hao wana utani wa ngumi.Labda alisajiliwa kwa jina la Paul kwamba atakuwa kama Paul Scholes.Aisee lile pengo mbona tutakesha na mbaya zaidi Herera nae wamepiga bei.Kukaba,kukaba,kukaba.Watu watachukulia point katikati kisa wakukaba hakuna.Time is telling and will keep telling.
Wenyewe wanadai huyo ndio nembo ya MUFC, wacha tutulie.
It a draw actually. but sion kama ni mbaya maana wolves hawa hawa walimnyonya macho man city. Arsenal.. chelsea. Ni timu inayotafuna vigogo siku zote
Huyu jombaa wamruhusu tu aondoke.
Pamoja na kuitwa the best midfielder
Ila wamruhusua aende spain, itakuwa ni kweli jamaa hana furaha.
Penati kakosa na leo kiungo kapoteana kweli.
Moment kama hizi ndo huwa tunamkumbuka babu fergie, alikuwa haruhusu mchezaji aipande timu kichwani.. yaani ukileta usechu hauchezi na unauzwa.
Morali ya wachezaji imeshuka..tutegemee droo nyingi sana.
Yaan hadi usingizi umegoma kuja. Dadekii
Halafu ameenda kumuomba Rashford wakati halikuwa jukumu lake. Naona katabia ka aliyefanyiwa rafu ndio apige penalty kanataka kuota mizizi.Nisiwe muongo nimeumia kichizi kudroo hii mechi
Wachezaji wameishiwa molari kabisa Baada ya pogba kukosa penati.
Pogba, pogba, pogba
Haya bana
Kimpira uko sahihi kabisa, ila kiushabiki hatuangalii hizo. Imagine baada kumfunga Chelsea maneno tuliyoambiwa mtaani.
Leo kimya, sioni status za GGMU WhatsApp.
Ile game na chelsea mpaka nahisi tulibahatisha aiseee..defense iko poa ila oale mbele na kati kati aisee majanga siku tukikutana na city sijui itakuaje
Dah mkuu hii sio sawa bana ..twende taratibu tu..
Although mumeshindwa kumfunga Wolves, Leicester mutaweza kweli
Pogba kirusi tu..aondoke!
Aache timu asepe zake.
Kwamba kuna timu ikishinda hamna maneno? Mkuu huo mpira wa wapi tambo ni chachu ya mpira
Huku kwetu utasikia nani hayaogopi majogoo ya jiji mpira ni mkwara
Mashabik wasio na maneno ni wa city
Lakin chelsea,liverpool na arsenal balaa tembelea acount ya twiter ya madee kila uchwao kelele tu
Mkuu Kuna watu sio, wastaarabu humuDah mkuu hii sio sawa bana ..twende taratibu tu..
Although mumeshindwa kumfunga Wolves, Leicester mutaweza kweli
Hata kama tukifungwa mia..lukaku hakuwa mtu sahihi kubaki MAN U..ni bora alivyouzwa.
Lukaku hakuweza kuonelana kwny mechi ngumu kama hizi..huwa anapotea kabisa.!!
Usimtetee mkuu.
nimeanza kuamini wallahi.