Naona mnapata tabu tafuta mtu mwenye dstv akuunge kwenye dstv now kitu hd yaani





Hivi lingard anafanya kazi gani uwanjani,kocha anampa nini huyu fala hajui hata kutuliza!ni mchezaji wa ajabu kuwahi cheza MU. Lingard wa hovyo sanaaaa,roho yangu inatuliaga akitokaga huyu mbwa wa kingereza na hata akibahatisha goli maana hajui mpira huwa sishangilii,hajui mpira huyu fala naumia sana
Nawakumbusha tuu wolves hawajapiga shut hata moja golini yan kwa kifup de gea ameungana na sisi kuiangalia united ikicheza
![]()




Mkuu punguza jaziba. Wanaompanga wanajua kazi yake. Lile goli limetokana na runs za hao vijana watatuHivi lingard anafanya kazi gani uwanjani,kocha anampa nini huyu fala hajui hata kutuliza!ni mchezaji wa ajabu kuwahi cheza MU. Lingard wa hovyo sanaaaa,roho yangu inatuliaga akitokaga huyu mbwa wa kingereza na hata akibahatisha goli maana hajui mpira huwa sishangilii,hajui mpira huyu fala naumia sana
Huku wan akikinukisha kama kawaKipindi cha kwanza tumeupiga sana
Kazi yake ni kuongeza spidi ya kushambulia.Huyo makocha wote waliotangulia lazima wamuanzishe Van gaal,Mourinho n.k.Siyo wa kumbeza hata kidogo labda kwa wewe unayeangali sijui kutuliza sijui bla bla gani ila anawekwa kwa mkakati huo kwanza mengine baadae.Mcheki akipata mpira jinsi anavyoukokota fasta kuelekea lango la wapinzani.Hata mimi kabla nilikuwa bambeza ila baadae nikagundua kazi yake ni ya kipekee sana nikapiga zangu kimya.Hivi lingard anafanya kazi gani uwanjani,kocha anampa nini huyu fala hajui hata kutuliza!ni mchezaji wa ajabu kuwahi cheza MU. Lingard wa hovyo sanaaaa,roho yangu inatuliaga akitokaga huyu mbwa wa kingereza na hata akibahatisha goli maana hajui mpira huwa sishangilii,hajui mpira huyu fala naumia sana
Mwambie huyo.Mkuu punguza jaziba. Wanaompanga wanajua kazi yake. Lile goli limetokana na runs za hao vijana watatu
Mkuu ukioa ndio unatulia Sasa, hata lindelof alivyooa karudi na kiwango kikubwa.Martial hatajwi kwenye list ya wachezaji bora kwa sababu ni lazy other wise ana kila kitu
Kuwahi kuoa kutamaliza kipaji chake mapema
Katika miaka 19 alikuwa anaishi na mke
Mwafrika haachi asili