radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Mason Mount ni mgeni EPL lakini uwezo wake ni mara 100 ya lingard.
Hapa nakubaliana na ww kabisa lingard simuelewi kabisa yaani
Mason Mount ni mgeni EPL lakini uwezo wake ni mara 100 ya lingard.
Hivi uliangalia goli la rah sterling alilokataliwa, lilizidi bega kidogo japo mkono ndo ulitangulia zaidi
Kwenye darasa la vilaza lazima awepo namba mmoja pia
Standard yetu imeshuka chini sana kama Lingard anakuwa man of match Kwa like kiwango
Duh...... Hii ni sheria iliyobereshwa ambayo imeanza kutumika msimu huu Mkuuu![]()
Lile goli halikuwa na tatizo lolote ila refa alilikataa kimakosa na hiyo ni kawaida tu kwenye Mpira refa kukataa Magoli halali na Akayakubali Magoli Batili ya offside au kushika kwa Mkono.
Jana OGS kasema wapiga penati aliowapa jukumu wapige ni Rashy na PaulNi lini ole alisema penalti zinapigwa na rashford?
Navyojua mpigaji penalti wa man u ni pogba na katika interview ya mechi ya chelsea rash alisema wapiga penalti wana rotate ili kuepusha timu pinzani kukariri mpiga penalti mmoja na ndio maana akapewa ile penalti ya chelsea.
Sometimes tupunguze ushabiki jamani.
Kanishangaza sana jana yupo ndani ya 18 kapoteza nafasi mbili za wazi
Nimejifunza kitu hapaSheria ya 11 katika sheria za Mpira inasema hivi: "A player is in an offside position if any of their body parts, except the hands and arms, are in the opponents' half of the pitch, and closer to the opponents' goal line than both the ball and the second-last opponent (the last opponent is usually, but not necessarily, the goalkeeper)".
Hiyo ni sheria ya miaka mingi tokea ilipoanza kutumika sheria ya offside na si ya msimu huu.
Mkono hauwezi kuwa offside kwasababu hauchezi mpira wala haufungi kwani ukigusa tu ni Handball.
Dyabala angeweza kuja kwa swap na Lukaku (au kwa hela ya kumuuza Lukaku). Japo mimi sio shabiki wa Dyabala kiivyoHivi Mtu anaposema "Tungepata kuwanunua Bruno Fernandez, Eriksen na Dyabala" ambapo tayari ameshasajiliwa Bissaka na Maguire huwa anazungumzia mpira wa Ulaya au wa Bongo? Hebu afanye majumuisho ya Kimakisio ya hela za hao wachezaji.
Nimefuatilia, nime confirm upo sahihiKasome kwa umakini sio kiungo chochote, bali kiungo kinachoweza kufunga goli halali hivyo kama ni mkono tu (not including bega) sio offside. Nasema hivyo kama refa mbobezi
Mkuu umehesabu mipira aliyopoteza Pogba?Bado pogba ni mhimiri wa timu walau ungeniambia scott alijaribu kuharibu baadhi ya mipira ya wapinzani yaani lingard awe man of the match? Acha utani je na AWB?
Mkuu nakuunga mkonoMashabiki acha kulalamika. Man U iliyocheza jana ndo niliyokuwa nataka huoni hata ollachuga OC first half alikuwa anachungulia yaani Kazi kazi, wolves shots on target chache sana walipata bahati maana ule mpira ungekuwa usawa wa kuingia bila kugonga mwamba De gea angefanya yake.
Inshu ya pogba kumbuka penati haina ubabe!
Kwangu mimi niliona timu iko poaa kazi kazi dk 90. Ila huyu Shaw Bana angetuliza na kufumua ili tupate usingizi vizuri.
I was happy na mchomoko wa David James, Kazi kazi Wan Bissaka. Chuma Lindelof na Maguire safi sana yaani hawaingii kupitia katikati bali pembeni ila mara nyingi upande wa wan Bissaka mpinzani hafui dafu.
Hata kama tumedroo i am happy maana nilichoka kuona magarasa ya young, smallling, Jones yanaleta mpira golini bila sababu.
Kuhusu martial naona dogo anabadilika taratibu goli safi. Kukosa nafasi duh mpira unadunda.
All in all! Mpira uko poah tukiendeleza soka hilo hilo daily huku forward ikisahihisha makosa Guardiola na Klopp watakuwa na presha.
GGMu
The problem ni hao wachezaji ambao anagombania nao namba (Mata,Perreira,) ni wabovu pia,ni ngumu sana Lingard kumuweka benchi mchezaji kama Eriksen,Bernado SilvaKazi yake ni kuongeza spidi ya kushambulia.Huyo makocha wote waliotangulia lazima wamuanzishe Van gaal,Mourinho n.k.Siyo wa kumbeza hata kidogo labda kwa wewe unayeangali sijui kutuliza sijui bla bla gani ila anawekwa kwa mkakati huo kwanza mengine baadae.Mcheki akipata mpira jinsi anavyoukokota fasta kuelekea lango la wapinzani.Hata mimi kabla nilikuwa bambeza ila baadae nikagundua kazi yake ni ya kipekee sana nikapiga zangu kimya.
Ni lini ole alisema penalti zinapigwa na rashford?
Navyojua mpigaji penalti wa man u ni pogba na katika interview ya mechi ya chelsea rash alisema wapiga penalti wana rotate ili kuepusha timu pinzani kukariri mpiga penalti mmoja na ndio maana akapewa ile penalti ya chelsea.
Sometimes tupunguze ushabiki jamani.
Kupunguza ushabiki una maana gani? Tuache kushabikia mpira au kujadili? Mchango wangu ulitokana na tukio kabla ya kupigwa kwa ile penalty, Rashford ndio alitaka kupiga,Pogba akaenda 'kuililia' na Rashford akamuachia. Hili la kutokuwa na mpigaji maalumu wa penalty ni jambo jengine linalothibitisha timu ina matatizo. Hata kama wapigaji wanazunguka, huyo Pogba hapaswi kujisogeza kabisa kupiga penalty kwasababu sio mpigaji mzuri. | ||
Mkuu naamini utakuwa umecheza mpira kwa kiwango chetu hiki cha makaratasiKanishangaza sana jana yupo ndani ya 18 kapoteza nafasi mbili za wazi


Ile offside ya mwisho mwisho aliyoadhibiwa Martial ilikuwa ni off side?Lile goli halikuwa na tatizo lolote ila refa alilikataa kimakosa na hiyo ni kawaida tu kwenye Mpira refa kukataa Magoli halali na Akayakubali Magoli Batili ya offside au kushika kwa Mkono.
Nimefuatilia nimegundua upo sahihi,Sheria ya 11 katika sheria za Mpira inasema hivi: "A player is in an offside position if any of their body parts, except the hands and arms, are in the opponents' half of the pitch, and closer to the opponents' goal line than both the ball and the second-last opponent (the last opponent is usually, but not necessarily, the goalkeeper)".
Hiyo ni sheria ya miaka mingi tokea ilipoanza kutumika sheria ya offside na si ya msimu huu.
Mkono hauwezi kuwa offside kwasababu hauchezi mpira wala haufungi kwani ukigusa tu ni Handball.
HahahahahahahahahWewe mkuu umeanza na Norwich na Southampton una points 6
Mimi nimeanza na Chelsea iliyokupa tabu Super Cup na Wolves nyumbani kwao
Huwezi ona tofauti hapo?