Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,882
- 10,193
2 shot on target ndio nafasi za kutosha ????Mechi ya leo tumecheza vizuri
Tumetengeneza nafasi za kutosha japo tumeshindwa kuzitumia
Naona United iliyoboreka ukilinganisha na ile iliyopigwa na Wolves msimu uliopita
Bado sijaelewa kazi ya VAR, mchezaji wa Wolves alizidi mkono wakati anatoa pasi ya goli
Kukosa penati ni jambo linalovumilika kwa mchezaji katika soka, swali ni je Pogba ameng'ang'ania kupiga penati wakati si mteule wa kocha au?
Hapa naona vidudu mtu wengi wanazengea zengea, lakini amini nakwambia katika big six timu itakayochukua pointi angalau 1 nyumbani kwa Wolves basi hao ni wanaume
By the way, Uwanja uliinama
GGM
Sijaelewa tumeboreka upande upi ukilinganisha na last season game tulizocheza against Wolves
Offensive last season tuli-create more chance kuliko game ya jana