Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Hii game ni ya kushinda mkuu..Hatuwezi tukafungwa OT game ya kwanza ya ligi na tukakubali tu matokeo kirahisiGame ya leo ni kubwa. Matojea yoyo're tuyapokee bila mzuka.
Vijana wapambane watupe ushindi by any means
Afterall chelsea sio hatari kama tunavyowafikiria in my opinion
