ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
Angemrudisha depay basi
Kikosi chetu kwa mwaka 2019/2020View attachment 1176772
Kikosi chetu kwa mwaka 2019/2020View attachment 1176772
tulia wewe ..Hivi hii manure tangu asepe mzee fargie kuna mchezaji aliyefikisha goli 20??
Hii manure wataanza kwa kasi sana ila baada ya gemu kama saba iv au nane wataanza kupotena apa..Wewe hauna Lukaku, hauna Herrera una Masho na uyo Rashidunategemea kushindana na big giants kama Chelsea au Liverpool. Uyu ole akatizi October atakuwa amefukuzwa.
First half mechi ya kwanza ya ligi wajinga wa anfield wanaongoza 4-0.
Tuna kazi kubwa kuifikia Liverpool ilipo sasa
big giant Chelsea? Hivi mkuu unaakili timamu au unatumia mlija.....tunaiongelea chelsea yenye striker Abraham, Giroud na batshuayi Nani hapo atafunga goli 20? Hamna tunaongelea Mount na Pulisic je wanaweza funga goli 13 au kucreate nafasi 13? Ngoja ligi ianzetulia wewe ..Hivi hii manure tangu asepe mzee fargie kuna mchezaji aliyefikisha goli 20??
Hii manure wataanza kwa kasi sana ila baada ya gemu kama saba iv au nane wataanza kupotena apa..Wewe hauna Lukaku, hauna Herrera una Masho na uyo Rashidunategemea kushindana na big giants kama Chelsea au Liverpool. Uyu ole akatizi October atakuwa amefukuzwa.
manchester united ni bora wafanye mipango ya kuanzisha kikundi cha ulinzi shirikishi, timu ina walinzi 13 lakini ni walinzi watatu tu ndio wana muelekeo wa kupata namba kikosi cha kwanza kwenye timu kubwa kama vile manchester city na liverpool.
tokea dirisha la usajili halijaanza mpaka limemaliza kama tungelikuwa tunatafuta mchangiaji asiyekuwa na chembe ya uoga wa kusimamia anachokiamini basi kura yangu ningelimpa bwana PTER .
vidic, ferdinand, jonny evans, brown (kiraka), oshea (kiraka), neville, evra. maguire, smalling, jones, bailly, lindelof, rojo, darmian, dalot, young, tuanzebe, shaw, bissaka.
Nimesikia tetesi zinadai ya kwamba FA wameamua kuiongezea muda wa kufanya usajili klabu ya manchester united kwa sababu CEO ed woodward alikuwa na likizo ya kazi kwa takribani wiki mbili.
Unavyojiamini na huyo Lampard wako.Vizuri sana mkuu, wewe ndo fan wa mpira.![]()
Msimu uliopita aliechukua ligi alitupita kwa pointi 32
Msimu sijui itakuajeView attachment 1177016
Tusipofuzu.??Wanavyodai Sancho anakuja UTD Kama longterm plan, huwenda dirisha lijalo Kama tutafuzu Champions league.
Madrid wangekuwa ligi ya Uingereza msimu uliopita tungekuwa nao futuhi, ligi Yao haina ushindani hata wawe wabaya vipi top 4 wanaingia.Tusipofuzu.??
Nawaza mara ya mwisho Madrid kucheza Europa ni lini.
Ningekuwa niko kwenye nafasi ya ED.Ole akifukuzwa United atakuja kocha mpya mwenye falsafa nyingine kabisa.
Hapo itabidi auze wachezaji wa Ole wa Pressing style atataka wachezaji wapya watakaofit kwenye style yake ya uchezaji.
Moyes alikuja na wachezaji wake.
LVG akaja na wake na mfumo wake.
Alivyokuja Mou akaja na aina yake na akataka alete wachezaji wake ndo wakashindwana na boss Ed akatimuliwa akaja Ole na akaanza kuuza wachezaji wa Mou akianza na Lukaku kisa hawafiti kwenye style yake ya uchezaji.
Kutokuwa na Technical Director ni tatizo kubwa sana pale United.
Mim Nina uhakika kama siyo point sita basi ni nne tutazibeba kutoka man united..Unavyojiamini na huyo Lampard wako.
Bora uwe mpole tu, kocha wenu bado mwanafunzi.



Sasa Chelsea kwa tuna kikosi bora sana japo tuko underrated kwa sababu ya ban na kuondoka kwa msaliti Luiz na legendary Hazard kumefanya mujiamin Chelsea itakuwa ya kupigwa pigwa tu kama Arsenal au ninyi manure. Sisi tuna vijana wenye kiu ya kupambana na kufunga magoli mengi. Hatuna vijana mabisho kama Masho au Rashid wao wakifikisha goli kumi kwenye ligi imeisha iyooobig giant Chelsea? Hivi mkuu unaakili timamu au unatumia mlija.....tunaiongelea chelsea yenye striker Abraham, Giroud na batshuayi Nani hapo atafunga goli 20? Hamna tunaongelea Mount na Pulisic je wanaweza funga goli 13 au kucreate nafasi 13? Ngoja ligi ianze


wana relax wanasubiri msimu uishe. Nina uahakika Tammy anamaliza juu ya Auba wa arsenal kwa idadi ya magoli...