Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hahahha.... nadhani man u ndio moja kati ya timu bora msimu huu... coz all ze players wana passion na timu..
 
Bora Chelsea mara mia; kuna jamaa anasema kesho hii ndo timu ambayo inaweza kuchaguliwa kushindana na timu ya Man City
 

Attachments

  • Screenshot_20190810-210626.jpg
    Screenshot_20190810-210626.jpg
    76.8 KB · Views: 20
Bora chelsea mara mia hahah? Kwa mtazamo wangu mna overrate chelsea sana. Wkt bado ni timu ya kawaida tu. Iaitoshe hawajasajili zaid wameuza tu means wanarudisha kikos kilekile cha mwaka jana.
Bora Chelsea mara mia; kuna jamaa anasema kesho hii ndo timu ambayo inaweza kuchaguliwa kushindana na timu ya Man City
 
Back
Top Bottom