Mbavu mbili
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 1,457
- 874
Taja wakiwa Sporting na Everton!!!!
Nikisema nikutajie orodha ya wachezaji wenye kariba ya Cr7 yule wa Sporting Lisbon (Kwa maana ya umri wake kipindi yupo sporting Lisbon ) wapo lukuki ... Ukisema nikutajie cr7 wa Manchester united na real Madrid hataweza kutokea tena ...
Sasa nikuulize wewe unataka nikutajie Ronaldo yupi kati ya hao Wawili ?? ...
NB : Sisi tulimsajili cr7 wa kariba ya Sporting Lisbon na Sio real Madrid .. Na kusajili pia inabidi tusajili cr7 wa kariba ya Sporting Lisbon ..
Logic hii hii ioanishe pia kwa Rooney.
Niko tayari kuja na maelezo zaidi ukihitaji.
Warmest Regards.