Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ana Quality kweli za kucheza United? Huyu OLe asije akatuletea wachezaji wakucheza legue 1 huko
Mkuu hatuna winga teleza kabisa, huyu mtoto msingi mbio, mechi na city aliwaacha otamendi na walker kama wamesimama, tunahitaji mtu wa kutia njaaa kule pembeni. Hakuna mchezaji yoyote kwenye ligi sasa hivi anayemfikia kwa speed ame peak 37mph na fastest msimu huu tfm ni around 35mph. Pia ni mzuri anakaba. Ana potential ya kuwa mchezaji mkubwa itategemea na atakavyolelewa.

 
Mkuu hatuna winga teleza kabisa, huyu mtoto msingi mbio, mechi na city aliwaacha otamendi na walker kama wamesimama, tunahitaji mtu wa kutia njaaa kule pembeni. Hakuna mchezaji yoyote kwenye ligi sasa hivi anayemfikia kwa speed ame peak 37mph na fastest msimu huu tfm ni around 35mph. Pia ni mzuri anakaba. Ana potential ya kuwa mchezaji mkubwa itategemea na atakavyolelewa.


Haya maybe akipata nafasi ataonyesha makali yake,ngoja tuone
 
Upo sahihi mkuu, hatuna uhakika naye lakini ngoja tumuone msimu huu
mkuu nikiziangalia video zake namuona ndio wale wale ukoo wa theo walcott na oxlade chamberlain pindi walipokuwa na miaka 17 nyakati hizo wapo southampton baadae wakaelekea arsenal, walikuwa ni wazee wa mbio nyingi maarifa kidogo

kiupande wangu nadhani tatizo halipo kwa bwana mdogo ila tatizo lipo kwa benchi letu la ufundi je wana uwezo wa kumfanya daniel james awe tishio siku za mbeleni?

bado hatujamfahamu ole gunnar solskjaer kiundani, miezi yake mitano aliiyotumikia klabu ametufanya mashabiki wengi nikiwemo na mimi tuwe na sifa za watu wanafiki.
december - february = ole gunnar solskjaer hodari na apewe mkataba mpya
february - may = ed woodward amechemsha kumpa mkataba ole gunnar solskjaer​
 
mkuu nikiziangalia video zake namuona ndio wale wale ukoo wa theo walcott na oxlade chamberlain pindi walipokuwa na miaka 17 nyakati hizo wapo southampton baadae wakaelekea arsenal, walikuwa ni wazee wa mbio nyingi maarifa kidogo

kiupande wangu nadhani tatizo halipo kwa bwana mdogo ila tatizo lipo kwa benchi letu la ufundi je wana uwezo wa kumfanya daniel james awe tishio siku za mbeleni?

bado hatujamfahamu ole gunnar solskjaer kiundani, miezi yake mitano aliiyotumikia klabu ametufanya mashabiki wengi nikiwemo na mimi tuwe na sifa za watu wanafiki.
december - february = ole gunnar solskjaer hodari na apewe mkataba mpya
february - may = ed woodward amechemsha kumpa mkataba ole gunnar solskjaer​
Ndio mkuu, ndio maana tunasema kipaji anacho, lakini suala la kufikia uwezo wa juu hilo ni lingine

Anaweza kuwa Walcott mwingine au Chamberlain lakini pia anaweza kuwa Bale au Sterling mwingine

Nakubali ni ngumu sana kum judge dogo kwa sasa, lakini anaonesha mbali na mbio, ufundi pia anao

Man Utd amewahi kuwa na dogo mmoja kutoka academy, alikuwa anaitwa Morrison, huyu dogo ame graduate na Pogba na Lingard, na katika kile kikosi, dogo aliyekuwa anatajwa hakuwa Pogba, bali ni Morrison lakini mara ya mwisho kumsikia alikuwa Italy huko anahangaika kutafuta timu. Kwahiyo kuna wakati hawa watoto huwa wanakuja kwenye ulimwengu wa soka, halafu wanapotea

Kumchukua huyu dogo, kwangu naona ni risk worth taking

Kama hadi kumchukua mchezaji ambaye tayari ni proven (Kama Sanchez, Dimaria, Falcao, Fred) inakuwa risk, kwanini tusi risk kwa dogo

Isitoshe, sidhani kama tutasajili wachezaji wa sampuli yake tu, naimani tutachanganya na wachezaji ambao tayari wamekamilika
 
Ndio mkuu, ndio maana tunasema kipaji anacho, lakini suala la kufikia uwezo wa juu hilo ni lingine

Anaweza kuwa Walcott mwingine au Chamberlain lakini pia anaweza kuwa Bale au Sterling mwingine

Nakubali ni ngumu sana kum judge dogo kwa sasa, lakini anaonesha mbali na mbio, ufundi pia anao

Man Utd amewahi kuwa na dogo mmoja kutoka academy, alikuwa anaitwa Morrison, huyu dogo ame graduate na Pogba na Lingard, na katika kile kikosi, dogo aliyekuwa anatajwa hakuwa Pogba, bali ni Morrison lakini mara ya mwisho kumsikia alikuwa Italy huko anahangaika kutafuta timu. Kwahiyo kuna wakati hawa watoto huwa wanakuja kwenye ulimwengu wa soka, halafu wanapotea

Kumchukua huyu dogo, kwangu naona ni risk worth taking

Kama hadi kumchukua mchezaji ambaye tayari ni proven (Kama Sanchez, Dimaria, Falcao, Fred) inakuwa risk, kwanini tusi risk kwa dogo

Isitoshe, sidhani kama tutasajili wachezaji wa sampuli yake tu, naimani tutachanganya na wachezaji ambao tayari wamekamilika
Bila kusahau 15m kwa soko la sasa ni hela ya madafu.
 
Ndio mkuu, ndio maana tunasema kipaji anacho, lakini suala la kufikia uwezo wa juu hilo ni lingine

Anaweza kuwa Walcott mwingine au Chamberlain lakini pia anaweza kuwa Bale au Sterling mwingine

Nakubali ni ngumu sana kum judge dogo kwa sasa, lakini anaonesha mbali na mbio, ufundi pia anao

Man Utd amewahi kuwa na dogo mmoja kutoka academy, alikuwa anaitwa Morrison, huyu dogo ame graduate na Pogba na Lingard, na katika kile kikosi, dogo aliyekuwa anatajwa hakuwa Pogba, bali ni Morrison lakini mara ya mwisho kumsikia alikuwa Italy huko anahangaika kutafuta timu. Kwahiyo kuna wakati hawa watoto huwa wanakuja kwenye ulimwengu wa soka, halafu wanapotea

Kumchukua huyu dogo, kwangu naona ni risk worth taking

Kama hadi kumchukua mchezaji ambaye tayari ni proven (Kama Sanchez, Dimaria, Falcao, Fred) inakuwa risk, kwanini tusi risk kwa dogo

Isitoshe, sidhani kama tutasajili wachezaji wa sampuli yake tu, naimani tutachanganya na wachezaji ambao tayari wamekamilika
🙌🙌🙌👌👌
sijawahi kujutia kusoma comment yako humu ndani.
vipi kuhusiana na habari za wilfred zaha?
 

sijawahi kujutia kusoma comment yako humu ndani.
vipi kuhusiana na habari za wilfred zaha?
Hahahaha Asante mkuu

Mimi namtazama Zaha kama aina ya wachezaji wazuri lakini wameumbwa kwa ajili ya timu ndogo

Sijui kinachowasibu wachezaji wa namna hii huwa nini, labda pressure ya kucheza timu kubwa, pressure ya mashabiki kutaka ku deliver kila mechi...... Sijui hasa tatizo huwa ni nini

Kuna wachezaji kama Zaha, Depay, Benteke, yule.... vich wa Westham, akina Noble sijui n.k naona wanaweza kutamba wakiwa huko waliopo (kwenye comfort zone zao) lakini wakipewa majukumu mazito Wana flop
 
Back
Top Bottom