Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Juventus wanakaribia kumsajili Sergej Milinkovic Savic ,Toni Kroos ameongeza mkataba Real Madrid na PSG wanakaribia kumsajili Alan toka Napoli so kuna posibility kubwa ya Pogba kubaki United.Timu ambazo zilikuwa zinataka kumsajili Pogba ni PSG,Juventus na Real Madrid
Bado Pogba anaweza kwenda Madrid

Luka Modric yupo mwishoni mkuu
 
Man United hawezi kosa hela ya kumleta Mbape, maana kitita pekee atakachokabidhiwa ni kati ya £200m na £250m

Ameambiwa mchezaji akiuzwa hiyo hela itaongezewa kwenye kitita cha manunuzi

Swali ni kwamba, je hao Mbape wapo tayari kuja OT?
Kumbuka tunatakiwa kununua wachezaji wa uhakika kama 6 au 7 hivi. Almost kila namba imekufa.

£250M haitoshi kuleta wachezaji wa uhakika wa 4. Labda iwe mara mbili yake.
 
Unaweza kuniambia kwa market ilivyochafuka sasa mbadala Wa Zaha??

Rocket price imeharibu soko!

Zaha sio mbaya kama unavyofikiri


Naomba uniwekee wachezaji mbadala ambao wanaweza fit kwenye position ya Zaha!

Nilitegemea utakuja na suluhu
Ligi za Ureno, Ujerumani, Uholanzi unapata wachezaji wazuri kwa fair price na wana talent kama huyo Zaha.

Hiyo hela ya Zaha unanunua World Class kama Hazard, Griezman ila sio Zaha.

Bei ya juu kabisa ambayo ni fair price ya Zaha haizidi £45M.
 
Kumbuka tunatakiwa kununua wachezaji wa uhakika kama 6 au 7 hivi. Almost kila namba imekufa.

£250M haitoshi kuleta wachezaji wa uhakika wa 4. Labda iwe mara mbili yake.
Hiyo ndiyo bajeti inayotajwa kuwa Tajiri yupo tayari kuitoa (£200m-£250m)

Lakini pia Tajiri yupo tayari kutoa fedha yoyote itakayopatikana Baada ya kuuza wachezaji waliopo sasa

Pia OGS amewahi kusema kwamba hategemei kusaini wachezaji 6
 
Upo sahihi mkuu, hatuna uhakika naye lakini ngoja tumuone msimu huu
Hata tungemchukua Poch na akafanya yanayofanyika sahivi mtaishia kusema hamna imani nae.

As long as nimeshajua matatizo ya United ni wamiliki na CEO Woodward, kila atakachofanya kocha namuunga mkono kwasababu naamini ana nia ya kuifanya United bora.

Ila kama msimu ujao tutaanza tupo na Smalling, Jones na Young sitaangalia mechi yeyote ya United hadi hao jamaa waondoke.
 
Hata tungemchukua Poch na akafanya yanayofanyika sahivi mtaishia kusema hamna imani nae.

As long as nimeshajua matatizo ya United ni wamiliki na CEO Woodward, kila atakachofanya kocha namuunga mkono kwasababu naamini ana nia ya kuifanya United bora.

Ila kama msimu ujao tutaanza tupo na Smalling, Jones na Young sitaangalia mechi yeyote ya United hadi hao jamaa waondoke.
waondoke waende wapi mkuu?
 
Juventus wanakaribia kumsajili Sergej Milinkovic Savic ,Toni Kroos ameongeza mkataba Real Madrid na PSG wanakaribia kumsajili Alan toka Napoli so kuna posibility kubwa ya Pogba kubaki United.Timu ambazo zilikuwa zinataka kumsajili Pogba ni PSG,Juventus na Real Madrid
Nimesoma Ole anataka kumpa ukapteni Pogba kumshawishi asiondoke.

Nshaona dalili za huyu jamaa kutoondoka.
 
Back
Top Bottom