Huyo Zlatani (35) unayemponda, ndio striker aliyefunga Magoli mengi pale United kuliko striker yoyote kwa msimu tangu aondoke Van Persie (29). Na hapo aliumia kabla ya msimu haujaisha
Embu nitajie ni wachezaji wangapi kwenye ligi ya Uingereza waliofunga magoli zaidi ya 29
Zlatan ameondoka, amewaachia vijana nafasi akina Lukaku, Rashford, Martial, wamefunga Magoli mangapi kwa msimu huu, au uliopita. Hakuna cha maana. Angalau hata Lukaku anajitutumua.
Ukiondoa Matic, Sanchez niambie hao wengine wenye umri unaoupendekeza wewe, wameifanyia nini United? Niambie aliyekuwa na 27 alifanya nini, niambie Bailly aliyekuwa na 22 amefanya nini? Vipi kuhusu Pogba (24), Dalot na wengine?
Kwa kigezo chako cha umri, mazingira yakiruhusu usajili Messi (32), Ronaldo (33), Griezeman (28), Aguero n.k utakataa kuwasajili na badala yake utamchukua Odoi, Rashford eti kwa sababu wao ni wadogo? Magoli watakayofunga hao jamaa "wazee" ndani ya misimu 3, itawachukuwa hawa "watoto" pengine carrier yao yote