Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,005
- 7,383
Kuna kipindi tukianza kuaminishwa kuwa Zidane ni kocha hatari sana ulaya. ...but kwahali hii zidane na solskjaer hawana tofauti katika mbinu, kilichombeba Zidane time aliyokuwa Madrid ilikuwa ni kuwa na top players waliokuwa wanajua wafanye nn uwanjani nothing else.....
Ole akisajili vizuri atasumbua sana tena sana ulaya ilimradi apate right players tu wanaojituma na wafia timu
Ole akisajili vizuri atasumbua sana tena sana ulaya ilimradi apate right players tu wanaojituma na wafia timu