Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,351
Aende mid team clubs akapate jina.Samata yupo available
Aende mid team clubs akapate jina.Samata yupo available
anaondoka paul pogba anabakia paul scholes si tatizo kubwa sana.Nimesoma Ole anataka kumpa ukapteni Pogba kumshawishi asiondoke.
Nshaona dalili za huyu jamaa kutoondoka.
Pogba mwenyewe anataka kuondoka hata last week kwenye interview Evra alisema Pogba ataondoka issue ni timu zinazomtaka zimeanza kutafuta altenative na kikwazo kikubwa ni mshahara wake,OGS anajua hilo ndio maana anajaribu kumshawishi abakiNimesoma Ole anataka kumpa ukapteni Pogba kumshawishi asiondoke.
Nshaona dalili za huyu jamaa kutoondoka.
Kwa hiyo bajeti tusishangae Ole akileta wachezaji wasio na majina.Hiyo ndiyo bajeti inayotajwa kuwa Tajiri yupo tayari kuitoa (£200m-£250m)
Lakini pia Tajiri yupo tayari kutoa fedha yoyote itakayopatikana Baada ya kuuza wachezaji waliopo sasa
Pia OGS amewahi kusema kwamba hategemei kusaini wachezaji 6
Hata mkopo. Ila msimu uliopita wamechangia maovu mengi sana.waondoke waende wapi mkuu?
na udhaifu aliokuwa nao paul pogba, ukweli tetesi za kuondoka kwake hazinifurahishi hata kidogo. Tupo katika nyakati ambazo hatulazimiki kumruhusu mchezaji muhimu kuondoka.Pogba mwenyewe anataka kuondoka hata last week kwenye interview Evra alisema Pogba ataondoka issue ni timu zinazomtaka zimeanza kutafuta altenative na kikwazo kikubwa ni mshahara wake,OGS anajua hilo ndio maana anajaribu kumshawishi abaki
tatizo linakuja kwenye market.Hata mkopo. Ila msimu uliopita wamechangia maovu mengi sana.
Huyu mchoma mkaa Partey atatufaa sana, ongeza na Ndombele, Maddson, Pepe, Bisaka, .. basi tu ela sitoi mimiNimeona mahala release clause ya Thomas partey ni dollar 43.6M nikashangaa united haina habari naye ila imekomaa na declan rice.
Duh.... Watu wa Liver mna nyodo. Sawa mkuu nimekoma
Dah alivyowaacha jamaa hatariMkuu hatuna winga teleza kabisa, huyu mtoto msingi mbio, mechi na city aliwaacha otamendi na walker kama wamesimama, tunahitaji mtu wa kutia njaaa kule pembeni. Hakuna mchezaji yoyote kwenye ligi sasa hivi anayemfikia kwa speed ame peak 37mph na fastest msimu huu tfm ni around 35mph. Pia ni mzuri anakaba. Ana potential ya kuwa mchezaji mkubwa itategemea na atakavyolelewa.
Pogba haendi popote kwa sasa, Man u hawatakuwa tayari kupoteza kipaji na mapato unless OGS mwenyewe aseme hamuhitaji publicly au asimpe nafasi kikosini.Nimesoma Ole anataka kumpa ukapteni Pogba kumshawishi asiondoke.
Nshaona dalili za huyu jamaa kutoondoka.
Samatta hapaswi kuondoka Genk this season aweke historia ya kucheza ECL msimu ujaoAende mid team clubs akapate jina.
Samatta hapaswi kuondoka Genk this season aweke historia ya kucheza ECL msimu ujaoAende mid team clubs akapate jina.
Timu itakosa fear factor uwanjani hata Mk Dons watakuja kutafuta ushindi OTanaondoka paul pogba anabakia paul scholes si tatizo kubwa sana.
anaondoka paul pogba na herrera anabakia fred na mctominay ni tatizo kubwa sana.
usiniulize kwa nini
Fans wanataka timu isajili wachezaji kumi at once tena world class talent ili smalling na Jones waondoke tu.tatizo linakuja kwenye market.
unataka kumuondoa smalling na jones kwa wakati mmoja halafu bajeti yako ya usajili ni paundi millioni 200.
unahitaji winga
unahitaji kiungo wa chini baada ya kuondoka herrera
unahitaji playmaker
unalalamika striker wako ni butu
unahitaji mlinzi wa kati
unahitaji mlinzi wa kulia
hatuna jeuri ya kufanya mabadiliko makubwa kama hayo, ni man city pekee ndio wenye jeuri hiyo.
dean henderson anatosha degea wa nini?DE GEA AWAGOMEA MAN U
Manchester United ipo katika presha kubwa ya kuuza kipa wake David de Gea baada ya ‘kukataa dau la mwisho alilopewa’ huku Paris Saint-Germain ikiwa tayari kumsajili kwa pauni 60milioni.
Mabingwa wa Ufaransa, PSG wapo tayari kumlipa De Gea kiasi anachotaka cha pauni 350,000 kwa wiki huku wakiweka wazi wapo tayari kutoa pauni 60milioni kumsajili msimu huu.
De Gea ameshinda tuzo ya kipa bora wa Ligi Kuu England katika misimu mitano kati ya saba, huku ndani ya Man United ameshinda tuzo ya mchezaji bora kwa misimu minne mfululizo kati ya 2014 and 2018.
Vyanzo vya ndani vya mtandao wa The sun, vimebaini kuwa kipa huyo, anadaiwa kuweka wazi kwamba hayupo tayari kuendelea kusalia Old Trafford msimu ujao wa 2019/20.
1. dean henderson | 2 wan bissaka | 3. luke shaw | 5. smalling | 4. lindeloff | 6. declan rice | 7. daniel james | 8. sean longstaff | 9. rashford | 10. pogba | 11.zaha |