Bado mapema acha hasira, mtawafunga man city chelsea na barcaHakika kwa ujinga wa leo hata kuangalia tena gemu za Man U najiuzilu tukutane msimu ujao
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado mapema acha hasira, mtawafunga man city chelsea na barcaHakika kwa ujinga wa leo hata kuangalia tena gemu za Man U najiuzilu tukutane msimu ujao
Mimi msimamo wangu ni ule ule Bila kina Glazer na kundi lao la wahuni kuondoka Man u tutachelewa sana. Mwaka wa 5 huu umeingia bado Man U tunatafuta winga wa kulia, kila siku Tetesi tu, haji mtu mpaka Ole anamtumia Dalot kama Winga aibu hii. Hiyo ndio faida ya kumuweka mtu wa benki aongoze timu kama Man U.
Hahaa jipe moyoFA kwetu sio muhimu kulinganisha na vita ya top four. All in all mapambano yanaendelea
Mkuu unamaanisha Arsenane nae ni mkubwa?Tulipo draw nao last week hizi manure zilichonga mnoo
Sasa wamepigwa K.O ya maana midomo kama imepigwa plasta vile ..vichwa chini
Liverpool alikaa kwa madogo apo ..hahaha narudia tena usijribu kumtukana mkubwa mwenzako..
Wakae wakijua kwamba kweny ligi sisi Mbweha bado tupo naoooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Upepo haukuwepo leo!!?? Vp ball possessionHAWA WAMETUPIGA KIPIGO KITAKATIFU TENA HALALI KABISA, WAMEJUA KUJIPANGA VYEMA. SIO WALE WA LAST WEEK WALIPEWA NA PENALT ZA UONGO UONGO..
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah shit, tungeongezewa dakika nyingine mbili hapa tungeshinda. Hawa marefa waduanzi sana![]()
sio kuotea, wanacheza kwa mipango na wachezaji wana morali.Wanashika nafas ya ngapi kwenye ligi....
Timu ya kawaida iyo ila ikikuotea ndio hayo yanayokukuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Alinikalisha wapi, mm nakumbuka tulidroo 1-1Hivi hujui na wewe una game nae? Na ilikuwa ichezwe jana sema ikafutwa kutokana na hii FA. Kumbuka mechi ya kwanza alikukalisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado nakuuliza swali hapo iyo mipango yao na morali imewafanya washike nafas ya ngapi kwenye ligi???sio kuotea, wanacheza kwa mipango na wachezaji wana morali.
Wale watoto wanaziba mianya sana ,wapo defensive sana ,ila sio wakal kama watu wanavyotaka kutuaminishaWanashika nafas ya ngapi kwenye ligi....
Timu ya kawaida iyo ila ikikuotea ndio hayo yanayokukuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nashangaa sana watu wa humu.....ninachojua wale ni wakamiaji wakubwa sana wanapokutana na big fourWale watoto wanaziba mianya sana ,wapo defensive sana ,ila sio wakal kama watu wanavyotaka kutuaminisha
Mm nawangoja kwenye ligi niwafundishe adabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufungwa mechi mbili ndio imekua tatizo? Wabongo banaOle at the wheel,
Ilimshinda Cardiff alafu mnataka apewe United, Hivi huwa mnakua mnatumia nini kufikiria nyie??
Sent using Jamii Forums mobile app