Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Kwahiyo mlikuwa mnadanganyana barca mnampiga?Nashawishika kuamini kwamba Barca wanaenda kutuvua nguo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo mlikuwa mnadanganyana barca mnampiga?Nashawishika kuamini kwamba Barca wanaenda kutuvua nguo.
Hakika kwa ujinga wa leo hata kuangalia tena gemu za Man U najiuzilu tukutane msimu ujaoKwa kucheza hivi bora tufungwe
Kwahiyo hata ya Barcelona huangalii tenaHakika kwa ujinga wa leo hata kuangalia tena gemu za Man U najiuzilu tukutane msimu ujao
Top 4 nayo tiamajitiamajiTumeondoka
Bora wawapige inaweza kuwa 2-0, 3-0
@Ollachuga Oc anawafahamu vizuri sanaWolves ni watu hatari sana
haahaa ni hatari@Ollachuga Oc anawafahamu vizuri sana
Yeye ndio anaweza kuwaelezea vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app