Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

FA kwetu sio muhimu kulinganisha na vita ya top four. All in all mapambano yanaendelea
 
Wallah kwa upuuzi wa leo nimeanza kuwa na doubt na Sosha

dakika ya 63 timu inacheza hovyo timu pinzani inatengeneza nafasi za hatari kazi uliyowatuma wachezaji wako hawaifanyi still umeridhika tu kisa unaongoza possession, of course kufungwa ipo ila bila kuonesha effort ya kutafuta goli ni upuuzi


what a shame???
 
Back
Top Bottom