Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Huruma kwa hawa watuUzi umepoa ,sijui kwa nini
Shabiki wa

Shabiki wa man u
Aiseee wamepigwa ganzi humu kuwaona ni kwa mbinde
Sent using Jamii Forums mobile app
Huruma kwa hawa watuUzi umepoa ,sijui kwa nini

Ichi kipind cha intaneshino briks tutatulia sana ..maana zilianza zile mbwe mbwe za tuna FA, tuna UEFA na EPL ...hahahaha sasa cjui saiv watabakiwa na nini ..dah adi uruma aise..Manyua ilikuwa swala la muda tu, upepo umekata, na hapo katikati mtachezea vipigo hadi muanze kulaumiana kama kipind kile cha mou
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa hichi kipind patatulia maana joto lilishaanza kupandaIchi kipind cha intaneshino briks tutatulia sana ..maana zilianza zile mbwe mbwe za tuna FA, tuna UEFA na EPL ...hahahaha sasa cjui saiv watabakiwa na nini ..dah adi uruma aise..
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la hiz ndorobo za manure huwa zinajipangiaga matokeo yao kabla ya mechi ...halafu zinakuwa na mbwe mbwe kibaoo..
Niliongea hapa nikatukanwa sana..yaani unamuacha nje mpambanaji/mchakarikaji Mata, unaanzisha hiyo takataka. Martial mvivu sana, anasimama sana kule mbele Shaw anapata shida sanaaaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale walikua wanamuona Dalot ni mwokozi wetu, hawezi kupeleka mpira mbele (bogus kabisa) ndio ameongoza kurudisha mipira nyuma. Takwimu zinaonesha hapa 90% ya pasi zake ni nyuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mou na ole nan kocha mkuu ..achaga ubishi wa kijinga ..
Mou msimu wa kwanza kabeba vikombe vitatu ...msimu wa pili kawaacha nafasi ya pili kweny ligi, hadi sas mpo uefa ni kwa sababu yake..
Kaj uyo kahamasisha timu inashinda lakin sio kocha wa kumlinganisha na Mourihno aise..
Kama ni vip apewe mkataba ili msimu ujao tumuone..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mou katika msimu wake wa mwisho alipoanza kufanya vibaya mlitamani abaki ili muendelee kuifaidi man u. Kaondoka kaja ole ka loose mechi mbili mmerudia pale pale.Aise walikuponda sana mze baba ..kuhusu Mourihno ulikuwa sawa kabisa..
Uyo Ole ni muamasishaji tu hana ukocha wowote ..
Mpeni timu ili tuendelee kufurahi..
Sent using Jamii Forums mobile app
We unataka nani apewe timu au Mou arudi.?Hata kipindi tunashinda tisa mfululizo msimamo wangu ni huu huu, sasa unaposema nisingesema hayo na wakati sijaanza leo kusema nakua sikuelewi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana nika type mpeni timu kabisa kwa msimu ujao ili tuone atafanikiwa vipi?Mou katika msimu wake wa mwisho alipoanza kufanya vibaya mlitamani abaki ili muendelee kuifaidi man u. Kaondoka kaja ole ka loose mechi mbili mmerudia pale pale.
Mechi mbili hizi hazi determine performance ya kocha. Mafanikio hupimwa kwa msimu
Sent using Jamii Forums mobile app
So sad tumepigwa dahMy red please endelea kunipa raha siku ya leo. Najua Red huwa haidanganyi
Sent using Jamii Forums mobile app
Pogba kaniudhi sana aiseeNdo maana nika type mpeni timu kabisa kwa msimu ujao ili tuone atafanikiwa vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora hata auzwe tu haitakii timu mema
Lakini mkuu Pogba ndo injin ya timu ..ndo tegemeo lenu iloBora hata auzwe tu haitakii timu mema
Bora tukawachukue madogo kule kwenye ACADEMY tuwakuze ili wajue uchungu wa timu
Hana mpinzani wa maana wa kumkata namba.. Hakuna mutu ya kazi zaid yake ..Utoto utoto mwingi
At least wewe umeongea , sio hawa wanaoponda mchezaji mmoja.Mimi msimamo wangu ni ule ule Bila kina Glazer na kundi lao la wahuni kuondoka Man u tutachelewa sana. Mwaka wa 5 huu umeingia bado Man U tunatafuta winga wa kulia, kila siku Tetesi tu, haji mtu mpaka Ole anamtumia Dalot kama Winga aibu hii. Hiyo ndio faida ya kumuweka mtu wa benki aongoze timu kama Man U.
Mtu kama Martial, Rashford, Lingard etc sio watu wa kuwa na namba ya uhakika, ni wachezaji ambao inabidi wawe na competition kwenye namba zao ili wajitume, una mtu kama Bale ana namba yake then martial ana compete nae, Timu yetu ukikaba tu kushoto na kumzuia Pogba kwisha kazi, waliobakia wanapiga piga tu pasi hazijulikani zinapokwenda.