Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1551945368981.png

Huyo Bwana mwenye mpira ndiye alileta kizaazaa mwaka 1999 ...na ndiye huyo jana kaleta balaa na vijana wake.Kwa waliozaliwa juu ya hapo itawachukua muda kidogo kumfahamu.Kipindi hiyo hakuna Sportpesa...wala mbet walaa mkeka bet.Ni kipindi unashangalia mpaka unakula makofi.Wajerumani enzi hizo walikuwa majitu haswaaa.Huyo Bwana alikuwa na kasura kake hakafanani na matendo yake kabisa Uwanjani.
 
Kitu ambacho jana nilikiona kwwnye mech ya Psg vs Manchester United
Descpline ya mchezo
United waliingia wakiwa na nidhamu kubwa ya huu mchezo hawakuwadharau Psg kama ambavyo ilikua mechi ya kwanza ikichangiwa na kutokuwepo kwa most experienced players hii ikasababisha kwa asilimia kubwa sana waliokuwepo kucheza kwa umakini na nidhamu.
Psg ni kama.waliwa underate Manchester wakiamini kwamba wanauhakika wa kushinda kias kwamba walitumia muda mwingi kuchezea mpira na sio kufunga magoli.

Use chances when u get them
Manchester hakutengeneza nafas nyingi jana kwenye ule mchezo ila makosa ambayo Psg waliyafanya ndio hayo hayo ambayo yalitumika kuwaumiza angalia magoli yote yametokana na makosa ya wachezaji wao and Lukaku was there kuwaonyesha kwamba we are here to win

This is Ole Time
Ukiangalia Team inavyocheza sasa hvi unagundua kwamba wachezaj wana imani sana na OGS na bench lake la ufundi wachezaji they are giving their 101% kwa kocha.
La mwisho sasa hIvI don't say its over until its over kwa Manchester United ya sasa.
Kwani jana walikuwepo Experience players wangapi?. Mimi n ilishabet MAN U mtatolewa kwa sababu wachezaji experience 10 akiwemo Antonio Valencia, Matteo Darmian, Phil Jones, Ander Herrera, Nemanja Matic, Jesse Lingard, Alexis Sanchez, Juan Mata, Anthony Martial, Paul Pogba hawakuwepo kwenye list ya timu iliyokwenda Paris. Na hii ndio sababu nafikiri iliyowahadaa PSG wakawa underrate. Wachezaji wengi waliokuwemo kwenye msafara ni wale wa academy, sijui hasa list yao ila walikuwa wengi
Kwa ufupi tuseme tu ni bahati, ngekewa posession ya 30%, kupendelewa na refa kwa penalty isiyostahili, ila all in all hongereni kwa kuingia robo fainali
 
Inabidi wajewaombe baada ya kufuzu makundi wao wapangiwe kuingia robo fainali......maana kwa miaka mitano mfuluzo wanafanya uwekezaji MKUBWA sana(wachezaji na hata makocha) kwenye timu ili wavuke hii hatua lakini

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa kuna kocha wa ligi na kocha wa UEFA, pia kuna wachezaji wa ligi na wachezaji wa UEFA kwa hiyo wakitaka UEFA wamtafute zizou na CR7, Hao watawafaa sana
 
Kwani jana walikuwepo Experience players wangapi?. Mimi n ilishabet MAN U mtatolewa kwa sababu wachezaji experience 10 akiwemo Antonio Valencia, Matteo Darmian, Phil Jones, Ander Herrera, Nemanja Matic, Jesse Lingard, Alexis Sanchez, Juan Mata, Anthony Martial, Paul Pogba hawakuwepo kwenye list ya timu iliyokwenda Paris. Na hii ndio sababu nafikiri iliyowahadaa PSG wakawa underrate. Wachezaji wengi waliokuwemo kwenye msafara ni wale wa academy, sijui hasa list yao ila walikuwa wengi
Kwa ufupi tuseme tu ni bahati, ngekewa posession ya 30%, kupendelewa na refa kwa penalty isiyostahili, ila all in all hongereni kwa kuingia robo fainali
Relax kigezo cha kupendelewa ni dhaifu mno ila naelewa unajaribu kudefend your ego.
Kilichofanyika jana ni kitendo hadimu sana kama vile kutua kwa kemondo Tanzania.Kwasasa tunasubiri ushindi mnono next sunday maana wageni waalikwa wameshafika eneo la tukio hahahahaaaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom