Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

McTominay.jpg
 
Kafute penalt basi.
Var inachofanya ni ku replay tukio katika angle zote. Nothing else
Kama refa kaamua hivyo.. nn tatizo. Hujaridhika peleka mashtaka fifa

Sent using Jamii Forums mobile app
PSG hawakujua kuwa kwenye champions league ManU ni sayari tofauti hasa linapokuja dakika za majeruhi. Wawaulize Bayern mwaka 1999.Dakika za OG ni zilizile 89-90. Niwakumbushe tu mwaka unaoishia 9 ni hatareee kukutana na MaU.Mwaka 1999 champions, 2009 champions na mwaka 2019 champions kama hutaki kajiunge alshabab
 
Mkuu mimi sikuwa hata na huo muda wa kuangalia wanashangiliaje kwa furaha niliyopata. Ngoja niitafute nione.

Sent using Jamii Forums mobile app


Niko naangalia highlights za magoli upya mkuu.NImetoka namcheki Martial kabla ya penati kupigwa kasali sana ishara ya msalaba, alivoshangilia sasa baada ya lile goli.
 
Mkuu kwanini huwa unaponda wachezaji wa timu yako, tena sio wabovu ...... Wanafanya vizuri tu

Dalot hata kama angekuwa hajagusa mpira dakika zote, kwa kusababisha tu penati anapaswa asifiwe kwa nyimbo na mapambio

Mimi sita taja mchango directly, ila nitakuuliza tu swali moja

Kipindi Bailly yupo upande wa kulia na kipindi Dalot ameingia upande huo wa kulia, muda gani ulikuwa comfortable zaidi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umeongea point kubwa sana. Kugusa mpira mara moja ukazaa goli ni bora kuliko kugusa mpira mara 120 (kama Fred) bila goli. BIG UP, NIMEKUELEWA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
PSG hawakujua kuwa kwenye champions league ManU ni sayari tofauti hasa linapokuja dakika za majeruhi. Wawaulize Bayern mwaka 1999.Dakika za OG ni zilizile 89-90. Niwakumbushe tu mwaka unaoishia 9 ni hatareee kukutana na MaU.Mwaka 1999 champions, 2009 champions na mwaka 2019 champions kama hutaki kajiunge alshabab

ndo masifa nisiyoya takaga kwa hawa mwanitesa wakisha bebwa mnaongeaga sana
 
Back
Top Bottom