Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

View attachment 1040008
Huyo Bwana mwenye mpira ndiye alileta kizaazaa mwaka 1999 ...na ndiye huyo jana kaleta balaa na vijana wake.Kwa waliozaliwa juu ya hapo itawachukua muda kidogo kumfahamu.Kipindi hiyo hakuna Sportpesa...wala mbet walaa mkeka bet.Ni kipindi unashangalia mpaka unakula makofi.Wajerumani enzi hizo walikuwa majitu haswaaa.Huyo Bwana alikuwa na kasura kake hakafanani na matendo yake kabisa Uwanjani.

Kajamaa kalikuwa kanacheza muda mfupi sana ila madhara yake makubwa wala hakajawahi kulalamika
 
View attachment 1040008
Huyo Bwana mwenye mpira ndiye alileta kizaazaa mwaka 1999 ...na ndiye huyo jana kaleta balaa na vijana wake.Kwa waliozaliwa juu ya hapo itawachukua muda kidogo kumfahamu.Kipindi hiyo hakuna Sportpesa...wala mbet walaa mkeka bet.Ni kipindi unashangalia mpaka unakula makofi.Wajerumani enzi hizo walikuwa majitu haswaaa.Huyo Bwana alikuwa na kasura kake hakafanani na matendo yake kabisa Uwanjani.
Kuffor alimwaga machozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
In a post-match interview after Manchester United's remarkable Champions League comeback in Paris, pundit and former player Gary Neville had three "quick questions" for caretaker manager Ole Gunnar Solskjaer.

"How long would you like on your contract? What would you like your salary to be? And where would you like the statue?"

Solskjaer laughed, and Neville added: "They've only got one decision to make now, haven't they?"

As elated United players chanted their manager's name, co-owner Avram Glazer, former manager Sir Alex Ferguson and fellow United legend Eric Cantona joined them in the dressing room.

Outside, the United fans still in the Parc des Princes sang their 'Ole's at the wheel' anthem on repeat.

So is it just a matter of when, not if, Solskjaer is made United's full-time manager?

Full-back Luke Shaw has made up his mind.
"It looks certain," said the England defender. "We all love Ole and we love the job he's done so far. Long may that continue."

Striker Romelu Lukaku said there was "no doubt" Solskjaer will stay, adding: "What else does he have to do?"
 
Imagine it was a José team yesterday

“You ask me about tonight ... in Paris .... I ask you? How many injuries? I sink seventeen. I have to play the kids against. ... er er an EXCELLENT team. But you expect me to win? 0-2 first leg? 2? When I see 2? I see TWO shampoinz league titles”

Sent using Jamii Forums mobile app

Umenichekesha sana na imaginary reply za mou
 
Imagine it was a José team yesterday

“You ask me about tonight ... in Paris .... I ask you? How many injuries? I sink seventeen. I have to play the kids against. ... er er an EXCELLENT team. But you expect me to win? 0-2 first leg? 2? When I see 2? I see TWO shampoinz league titles”

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenzie kashambulia mwanzo mwisho huyu pimbi angeenda kuzuia mwanzo mwisho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom