Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,882
- 10,193
Unamaanisha Antonio Conte ?Imani yangu kwa zidane ni ndogo sana, kama tutamkosa Pochettino ni bora Conte.
Unamaanisha Antonio Conte ?Imani yangu kwa zidane ni ndogo sana, kama tutamkosa Pochettino ni bora Conte.
Sina imani kama umetafakari vizuri kabla ya hilo hitimisho lakoJirani zangu kuna kitu hamjakijuw, team yenu ni mbovu sana. Tatizo siyo kocha. Huyu ni kocha wa 3 kama siyo 4. Na mnaendelea kuwalaumu makocha.
Jose Mourinho at Man Utd:Sina imani kama umetafakari vizuri kabla ya hilo hitimisho lako
Angalau timu haitacheza kama ilivyokuwaIla mourinho sio tatizo la timu tatizo bado lipo mourinho kasepa inamaana ashley young atageuka kuwa mendy au walker?
Lets hope soAngalau timu haitacheza kama ilivyokuwa
Wanamlindia heshima tu nduguKwenye "left United" wanamaanisha nini?
Kwamba yeye mwenyewe kamwaga manyanga au?
Kocha alikuwa ni tatizo kubwa pia asee. Mimi sioni timu ya kufanana nayo kiuchezaji pale EPL msimu huu. Nadhani Man U ndiyo inacheza vibaya kuliko timu yoyote. Vitimu vidogo tu vinaupiga mwingi sisi kwa nini tuwe Wa hovyohovyo?Watafuta vipaji hatuna united msimu wa 7 huu hamna beki wa kushoto wa maana au kulia ingia nne na tano tukubali kocha tumemtoa kafara tunafurahia subir aje van gaal mwingine
Kila kocha na falsafa yake kuna watu lazima uwe nao wa kwendana na mfumo wakoKocha alikuwa ni tatizo kubwa pia asee. Mimi sioni timu ya kufanana nayo kiuchezaji pale EPL msimu huu. Nadhani Man U ndiyo inacheza vibaya kuliko timu yoyote. Vitimu vidogo tu vinaupiga mwingi sisi kwa nini tuwe Wa hovyohovyo?
Simeone ana asili fulani ya kupaki kabasi kwa mbaliiii,so naona Poch atafaa zaidi. Yaani Diego nu heri hata ya WengerHuyo Blank mbona anatajwa lakini hana cha kujivunia. Credit ni Simeoni buana
Ni sawa mfumo Mara nyingi una determine aina ya wachezaji,ila ukiachana na wachezaji aliowakuta na kuwabakisha Mou signings nyingi alizofanya zimetoka kuwa good ones zimekuja kuwa worse ones hapo ndo shida yake kubwa nyingine inapojipambanua.Kila kocha na falsafa yake kuna watu lazima uwe nao wa kwendana na mfumo wako
Hivi pep kwa nini hakuwaacha wakina nasri?
NakaziaPochettino hafai, Manu na washabiki wake hawako tayari kusubiri timu ijengwe upya miaka 5-10 bila vikombe. Sioni pochettino kama jamaa wa vikombe bali jamaa wa kutengeneza timu ya top 4.
MTU kasajili kikosi kizima jitu linaleta tantalila za karumekenge..Ni sawa mfumo Mara nyingi una determine aina ya wachezaji,ila ukiachana na wachezaji aliowakuta na kuwabakisha Mou signings nyingi alizofanya zimetoka kuwa good ones zimekuja kuwa worse ones hapo ndo shida yake kubwa nyingine inapojipambanua.
Ole Gunnar Solskjaer ameongezeka
Huo ni uzushi,uongo na umbeaMan u hakuna RANGI ambayo hamtakaa muione!!!!Eti carick ndio mrithi mpaka mwisho wa msimu
Mkuu mi nashabikia Aseno lakini ni shabiki mkubwa sana wa Valencia, yule jamaa anapiga mpira mkubwa saaaana. Huaga natamani ahamie kwetu akawafundishe vijana team spirit na commitment. Alitolewa kua winger karudishwa full back lakini performance yake haina mfano. Nachompendeaga zaidi cross zake zote zinavukaga..hadi raha kumuangalia akicheza. Halaf as u said, hana makuu ndani na nje y uwanja. Sasa Mou anakuaje na guts za kumkalishaa bench machine kama hii!Mkuu ukitumia akili kubwa sana kuongea baadhi ya mambo utachoka na kujitafutia maradhi ya moyo.
Shabiki makini yoyote Wa Manchester. Ambae walau amejitahidi kutumia kichwa chake kufikiri na si kunyolea VIDUKU. Lazima awe na hicho ulichoandika hapo juu. Bahati nzuri humu tumeshawahi kutifuana kuhusu hilo la wachezaji na niliishia kusema "CHINI YA MOURINHO KILA MCHEZAJI ATAONEKANA MBOVU"
Haikuchukua hata miezi mawili Mickytaryan moja ya wachezaji bora akapelekwa Arsenal. Paul Pogba alifuatia. Rojo alimanusura auzwe last transfer window. Hivi kweli hii scenario yote ni ubovu wa wachezaji?????.
Pumbavu zake mpaka linaondoka shetani hili lilikuwa limeanza kumpiga kama si kumchomesha mahindi Antonio Valencia moja ya wachezaji ninaowahusudu pale united kutokana na utiririkaji wake ule upande wa kulia Mwa kiwanja chochote pale kwa malkia .. Masikini ya mungu Valencia kwenye international break match almanusura nitokwe na machozi alipohojiwa kwao kwanini hachezi na wakati hana injury. Kijana huyu asiekuwa na makuu na mtu zaidi ya kuchomekea shati na kuupiga mpira kisawa sawa alijibu " Naamini mwalimu anajua uwezo wetu, naheshimu maamuzi na uwezo wa wachezaji wenzangu wanaopangwa"
Hiyo kauli iliniuma sana na kama si kuwa ninaishi huku uswekeni maramba mawili , kama ningekuwa pale jiji la Manchester ningekuwa nimefanya kitu cha ajabu sana kwa Mou pale viunga ama viwanja vya mazoezi vya AON COMPLEX.
Kuna mambo hayahiji ROCKET SCIENCE kujua nini tatizo. Kama mtu nchi hii ameshindwa kujua kama si kuoambanua tatizo la team ya Manchester Mchawi namba moja alikuwa huyo mmakonde kutoka ile nchi wanayokula kama si kubugia PANYA (Msumbiji). Basi taifa hili kuendelea ni mpaka yatokee maafa makubwa kama ya kipindi cha nuhu ili vichwa maji wote wasagwe na ije generation mpya yenye new Mentality. Jokes
Hahahahaha
Muhudumu Sogeza ni kwa hisani ya
Mou Faya , Mou Energy, Mou Pesa , Mourinho.
Kweli aiseeMtu fulani angetolewa huko tz kama Jose ingekuwa vzr sn sn