Maneno ya kaka mkuu safi kabisa busara na kuthamini mchango wa mtu hata kama ulikuwa mdogo sifa ya muungwana.
20181218_235217.jpeg
 
Watafuta vipaji hatuna united msimu wa 7 huu hamna beki wa kushoto wa maana au kulia ingia nne na tano tukubali kocha tumemtoa kafara tunafurahia subir aje van gaal mwingine
Kocha alikuwa ni tatizo kubwa pia asee. Mimi sioni timu ya kufanana nayo kiuchezaji pale EPL msimu huu. Nadhani Man U ndiyo inacheza vibaya kuliko timu yoyote. Vitimu vidogo tu vinaupiga mwingi sisi kwa nini tuwe Wa hovyohovyo?
 
Kocha alikuwa ni tatizo kubwa pia asee. Mimi sioni timu ya kufanana nayo kiuchezaji pale EPL msimu huu. Nadhani Man U ndiyo inacheza vibaya kuliko timu yoyote. Vitimu vidogo tu vinaupiga mwingi sisi kwa nini tuwe Wa hovyohovyo?
Kila kocha na falsafa yake kuna watu lazima uwe nao wa kwendana na mfumo wako

Hivi pep kwa nini hakuwaacha wakina nasri?
 
Kila kocha na falsafa yake kuna watu lazima uwe nao wa kwendana na mfumo wako

Hivi pep kwa nini hakuwaacha wakina nasri?
Ni sawa mfumo Mara nyingi una determine aina ya wachezaji,ila ukiachana na wachezaji aliowakuta na kuwabakisha Mou signings nyingi alizofanya zimetoka kuwa good ones zimekuja kuwa worse ones hapo ndo shida yake kubwa nyingine inapojipambanua.
 
Ni sawa mfumo Mara nyingi una determine aina ya wachezaji,ila ukiachana na wachezaji aliowakuta na kuwabakisha Mou signings nyingi alizofanya zimetoka kuwa good ones zimekuja kuwa worse ones hapo ndo shida yake kubwa nyingine inapojipambanua.
MTU kasajili kikosi kizima jitu linaleta tantalila za karumekenge..




Ifike Muda tukubali tu , Mo Hana analoweza. Aende akafanye upuuzi wake wa kulinda kwenye vitimu vidogo.
IMG_20181218_204927.jpg
 
Ebana mmeshakuwa kama Newcastle United. Yaani OLE Gunnar ndio anashikiria mikoba kwa at least mechi 23 plus FA cup? Natabiri atatimuliwa March. Laughable team, Laughable management. Garbage Garbage Manchester United.

Naona management haijui la kufanya wameliondoa Tangazo la kumpa mikoba. Tusubiri tuone watakachofanya. Ila kuna uwezekano ni mkubwa atakuwa Manager kwa miezi 5 kama sio chini yake.
 
Mkuu ukitumia akili kubwa sana kuongea baadhi ya mambo utachoka na kujitafutia maradhi ya moyo.



Shabiki makini yoyote Wa Manchester. Ambae walau amejitahidi kutumia kichwa chake kufikiri na si kunyolea VIDUKU. Lazima awe na hicho ulichoandika hapo juu. Bahati nzuri humu tumeshawahi kutifuana kuhusu hilo la wachezaji na niliishia kusema "CHINI YA MOURINHO KILA MCHEZAJI ATAONEKANA MBOVU"


Haikuchukua hata miezi mawili Mickytaryan moja ya wachezaji bora akapelekwa Arsenal. Paul Pogba alifuatia. Rojo alimanusura auzwe last transfer window. Hivi kweli hii scenario yote ni ubovu wa wachezaji?????.


Pumbavu zake mpaka linaondoka shetani hili lilikuwa limeanza kumpiga kama si kumchomesha mahindi Antonio Valencia moja ya wachezaji ninaowahusudu pale united kutokana na utiririkaji wake ule upande wa kulia Mwa kiwanja chochote pale kwa malkia .. Masikini ya mungu Valencia kwenye international break match almanusura nitokwe na machozi alipohojiwa kwao kwanini hachezi na wakati hana injury. Kijana huyu asiekuwa na makuu na mtu zaidi ya kuchomekea shati na kuupiga mpira kisawa sawa alijibu " Naamini mwalimu anajua uwezo wetu, naheshimu maamuzi na uwezo wa wachezaji wenzangu wanaopangwa"


Hiyo kauli iliniuma sana na kama si kuwa ninaishi huku uswekeni maramba mawili , kama ningekuwa pale jiji la Manchester ningekuwa nimefanya kitu cha ajabu sana kwa Mou pale viunga ama viwanja vya mazoezi vya AON COMPLEX.



Kuna mambo hayahiji ROCKET SCIENCE kujua nini tatizo. Kama mtu nchi hii ameshindwa kujua kama si kuoambanua tatizo la team ya Manchester Mchawi namba moja alikuwa huyo mmakonde kutoka ile nchi wanayokula kama si kubugia PANYA (Msumbiji). Basi taifa hili kuendelea ni mpaka yatokee maafa makubwa kama ya kipindi cha nuhu ili vichwa maji wote wasagwe na ije generation mpya yenye new Mentality. Jokes



Hahahahaha
Muhudumu Sogeza ni kwa hisani ya
Mou Faya , Mou Energy, Mou Pesa , Mourinho.
Mkuu mi nashabikia Aseno lakini ni shabiki mkubwa sana wa Valencia, yule jamaa anapiga mpira mkubwa saaaana. Huaga natamani ahamie kwetu akawafundishe vijana team spirit na commitment. Alitolewa kua winger karudishwa full back lakini performance yake haina mfano. Nachompendeaga zaidi cross zake zote zinavukaga..hadi raha kumuangalia akicheza. Halaf as u said, hana makuu ndani na nje y uwanja. Sasa Mou anakuaje na guts za kumkalishaa bench machine kama hii!
Wacheni aende tu hana lolote
 
Back
Top Bottom