Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
Ole ole ole
Mkuu acha tu Mou ni mgalilaya , Sijapata kuona mzungu Mwenye nongwa na roho mbaya kama yule.Mkuu mi nashabikia Aseno lakini ni shabiki mkubwa sana wa Valencia, yule jamaa anapiga mpira mkubwa saaaana. Huaga natamani ahamie kwetu akawafundishe vijana team spirit na commitment. Alitolewa kua winger karudishwa full back lakini performance yake haina mfano. Nachompendeaga zaidi cross zake zote zinavukaga..hadi raha kumuangalia akicheza. Halaf as u said, hana makuu ndani na nje y uwanja. Sasa Mou anakuaje na guts za kumkalishaa bench machine kama hii!
Wacheni aende tu hana lolote
Umenichekesha saaaaaaaaananimeliaa weeee morinyo aondolewe Leo ndio wanajua...pambafu....wamlete hats Roy keane
Sasa mbona Mourinho Mwenye CV murua team imemshinda, mpaka anatuachia team, vijana wana 0 goal difference.Ebana mmeshakuwa kama Newcastle United. Yaani OLE Gunnar ndio anashikiria mikoba kwa at least mechi 23 plus FA cup? Natabiri atatimuliwa March. Laughable team, Laughable management. Garbage Garbage Manchester United.
Naona management haijui la kufanya wameliondoa Tangazo la kumpa mikoba. Tusubiri tuone watakachofanya. Ila kuna uwezekano ni mkubwa atakuwa Manager kwa miezi 5 kama sio chini yake.
You are a Liverpool fan, come to me when you win any trophy.Nadhani ni hawa
Umenichekesha saaaaaaaaana
I hate LiverpoolYou are a Liverpool fan, come to me when you win any trophy.
You are a Liverpool fan, come to me when you win any trophy.
Tatizo hapo ni kwamba kumpata kocha mzuri Wa kudumu kwenye kipindi hiki ni vigumu sana labda wamchukue zidane/Wenger/conte. Mana ndio makocha wenye sifa wasio na timu. Ambapo kati ya hao zizou Mimi huwa ninamashaka nae zaidiNimeona alichoandika Fletcher ni sawasawa na nilichokuwa nafikiria.
Analalamika kwamba Man Utd wanatakiwa kutafuta kocha permanent sasa hivi, kwa sababu kutafuta kocha leo wa kumaliza msimu, halafu utafute kocha mwingine ni sawa na kupoteza miaka miwili kwa kufanya rebuilding.
Bora aje kocha sasa hivi, akae na hii timu, ikifika mwishoni mwa msimu anakuwa ameshaijua vizuri na ni rahisi kufanya transfers kiangazi kwa sababu tayari kakaa na timu na anaijua.
Nimeona ni bonge la fact.
Huyu jamaa wameona nini ndani yake? Mimi sina imani nae sana.Ole ole ole View attachment 971873
breaking bad
Tatizo hapo ni kwamba kumpata kocha mzuri Wa kudumu kwenye kipindi hiki ni vigumu sana labda wamchukue zidane/Wenger/conte. Mana ndio makocha wenye sifa wasio na timu. Ambapo kati ya hao zizou Mimi huwa ninamashaka nae zaidi
Yes, VVD is the Netherland's phil Jones and u can't change that. Has 24 appearance since 2015 and he only getting chance coz this is the worst Dutch side ( National Team) ever.Ah! Wapi..
You said VVD is a Netherland's Phil Jones!
Since that day I've Confirmed that you know nothing about football...
Angekuwa mjanja angejiangusha apate fauloDaaa yaani imefikia kipindi Sadio Mane anamgeuza mchezaji wetu Lukaku kama zuzu fulani hivi lisilojielewa. Ukicheki hapo Sadio Mane amemsukumia makusudi Lukaku kwenye offside position ili shambulizi liwe limeisha. Na kweli lukaku wetu kwa sababu hakuwa focused ktk anachokifanya akaingia mtegoni na akafunga ikawa offside.