Ole ole ole
IMG_1394.JPG
 
Mkuu mi nashabikia Aseno lakini ni shabiki mkubwa sana wa Valencia, yule jamaa anapiga mpira mkubwa saaaana. Huaga natamani ahamie kwetu akawafundishe vijana team spirit na commitment. Alitolewa kua winger karudishwa full back lakini performance yake haina mfano. Nachompendeaga zaidi cross zake zote zinavukaga..hadi raha kumuangalia akicheza. Halaf as u said, hana makuu ndani na nje y uwanja. Sasa Mou anakuaje na guts za kumkalishaa bench machine kama hii!
Wacheni aende tu hana lolote
Mkuu acha tu Mou ni mgalilaya , Sijapata kuona mzungu Mwenye nongwa na roho mbaya kama yule.


Hivi unakumbuka alichomfanyia Juan Mata Chelsea???
 
Ebana mmeshakuwa kama Newcastle United. Yaani OLE Gunnar ndio anashikiria mikoba kwa at least mechi 23 plus FA cup? Natabiri atatimuliwa March. Laughable team, Laughable management. Garbage Garbage Manchester United.

Naona management haijui la kufanya wameliondoa Tangazo la kumpa mikoba. Tusubiri tuone watakachofanya. Ila kuna uwezekano ni mkubwa atakuwa Manager kwa miezi 5 kama sio chini yake.
Sasa mbona Mourinho Mwenye CV murua team imemshinda, mpaka anatuachia team, vijana wana 0 goal difference.


Van Gal pia Mwenye CV yake mbona team ilimshinda??? Msitake kujifanya mna machungu sana. Kwa hali iliyonayo Manchester united kocha yoyote sawaaaaaaaa ilimradi atuvushe.


NB: KAMA AKIZINGUA PIGA CHINI
 
Nimeona alichoandika Fletcher ni sawasawa na nilichokuwa nafikiria.

Analalamika kwamba Man Utd wanatakiwa kutafuta kocha permanent sasa hivi, kwa sababu kutafuta kocha leo wa kumaliza msimu, halafu utafute kocha mwingine ni sawa na kupoteza miaka miwili kwa kufanya rebuilding.

Bora aje kocha sasa hivi, akae na hii timu, ikifika mwishoni mwa msimu anakuwa ameshaijua vizuri na ni rahisi kufanya transfers kiangazi kwa sababu tayari kakaa na timu na anaijua.

Nimeona ni bonge la fact.
 
Man. Tulikuwa tunampenda Sana kocha wetu. Liverpool wamemfukuza kazi. Walaaniwe. !!!!
 
Daaa yaani imefikia kipindi Sadio Mane anamgeuza mchezaji wetu Lukaku kama zuzu fulani hivi lisilojielewa. Ukicheki hapo Sadio Mane amemsukumia makusudi Lukaku kwenye offside position ili shambulizi liwe limeisha. Na kweli lukaku wetu kwa sababu hakuwa focused ktk anachokifanya akaingia mtegoni na akafunga ikawa offside.
 

Attachments

  • VID-20181219-WA0001.mp4
    180.5 KB · Views: 20
Nimeona alichoandika Fletcher ni sawasawa na nilichokuwa nafikiria.

Analalamika kwamba Man Utd wanatakiwa kutafuta kocha permanent sasa hivi, kwa sababu kutafuta kocha leo wa kumaliza msimu, halafu utafute kocha mwingine ni sawa na kupoteza miaka miwili kwa kufanya rebuilding.

Bora aje kocha sasa hivi, akae na hii timu, ikifika mwishoni mwa msimu anakuwa ameshaijua vizuri na ni rahisi kufanya transfers kiangazi kwa sababu tayari kakaa na timu na anaijua.

Nimeona ni bonge la fact.
Tatizo hapo ni kwamba kumpata kocha mzuri Wa kudumu kwenye kipindi hiki ni vigumu sana labda wamchukue zidane/Wenger/conte. Mana ndio makocha wenye sifa wasio na timu. Ambapo kati ya hao zizou Mimi huwa ninamashaka nae zaidi
 
Ah! Wapi..
You said VVD is a Netherland's Phil Jones!

Since that day I've Confirmed that you know nothing about football...
Yes, VVD is the Netherland's phil Jones and u can't change that. Has 24 appearance since 2015 and he only getting chance coz this is the worst Dutch side ( National Team) ever.
 
‪Zinedine Zidane will replace Mourinho as Manchester United manager. Negotiations happened a month ago. Announcement should be made in the next few days

#mufc [antena 1, Sport_Witness]‬
 
Daaa yaani imefikia kipindi Sadio Mane anamgeuza mchezaji wetu Lukaku kama zuzu fulani hivi lisilojielewa. Ukicheki hapo Sadio Mane amemsukumia makusudi Lukaku kwenye offside position ili shambulizi liwe limeisha. Na kweli lukaku wetu kwa sababu hakuwa focused ktk anachokifanya akaingia mtegoni na akafunga ikawa offside.
Angekuwa mjanja angejiangusha apate faulo
 
Back
Top Bottom