Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Point yangu usifananishe kuwa Tottenham hajasajili na anafanya vizuri (tafsiri ya kufanya vizuri??????)

Kwa ambition za United bado hafanyi vizuri

United has always been getting titles

Spurs je?
Kocha wa spurs ana msimu wa 6 au 5 huu anaijua spurs ndani nje anaijua academy yake nje ndani unawezeje kumlinganisha na mourinho?
 
Screenshot_2018-12-18 Manchester United on Twitter Manchester United has announced that Jose M...png
 
Lakin bado naona tatizo halijatatuliwa tumetoa kafara moja bado ile bodi ya kibiashara naona walichukia paul pogba kukaa bench
Man utd has bigger problem zaidi ya kocha , bunch of average players ambao hata kocha mpya hawezi kuwabadili na hao wakina egoist players ambao ndio wachafuzi wa dressing rooms and training sessions and since atakuwa intern coach inaweza kuwa ni majanga zaidi ya faida kumfukuza Mou muda huu..
 
kuna majinga humu yalikua yanamtetea mou ; sasa hivi yanajifanya eti yanasupport maamuzi ya management....hahaaaahaaaaa
Hao watakuwa ni mashabiki wa ccm pia,maana ndo wana tabia hiyo....kwahyo hao itakuwa ni man u+ccm
 
Back
Top Bottom