Simion ni mourinho hamna soka la kushambulia kuleYaan nilivyoona page ya utd ghafla nikakumbuka maandiko yako hapa jukwaani,Binafsi ninamtamani Simeon zaid
Simion anajua kuhandle pressure zake binafs pamoja na wachezaji wake sion kama wanafanana na Mou mtu mwenye ego.Simion ni mourinho hamna soka la kushambulia kule
Kaka nakwambia simion sio type ya manchester united sawa na mchana umekula ugali maharage usiku unakula wali maharageSimion anajua kuhandle pressure zake binafs pamoja na wachezaji wake sion kama wanafanana na Mou mtu mwenye ego.
Mimi nilikuwa nampenda![]()

Ngoja tuone mkuu ila binafsi naamini ulikuwa unahitajika uwekezaj wa maana sio kocha tu bado mambo ni mengi spurs anasimama kwa sasa wana kocha yupo toka 2013Jirani zangu kuna kitu hamjakijuw, team yenu ni mbovu sana. Tatizo siyo kocha. Huyu ni kocha wa 3 kama siyo 4. Na mnaendelea kuwalaumu makocha.
Ana gundu baya sana msimu wa tatuJose is no more, let's open the new chapter
Huyu jamaa third season curse inamtafuna sana
By any means necessaryHahaaaa hebu mjipange basi round 2 mtoe japo ushindani![]()



