Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Kuna Rio, Neville, Gigs, Keano na wengine wengiNimeshangaa sana huyu jamaa
Msome rio nae alikuwa mshabiki wa mourinho na mtetezi kwamba anamtetea kocha na timu ina maana nae wa hovyo? Jukwaa hili lina mambo ya ajabu sanaView attachment 971389
Na baada ya Mourinho kutumbuliwa, Neville amesema angependa Poch ndio apewe timu
Kwahiyo hapa watamshangaa Neville kutoa huo ushauri, kisa tu huko nyuma alikuwa anamsapoti Jose