Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Pogba aliwahi kuulizwa kuhusu kuhama United na kwenda Barcelonasawa lakini huyu mtu mweusi mwenzetu hana professionalism kabisa, ilitakiwa kukausha tu sababu kama sikosei ni jose ndiyo amemsajili pogba, Pogba anatakiwa azingatie mpira na aachane na nywele mara instagram yote kwa yote timu ya Man United wapiga kazi wachache sana
Akasema anaogopa kusema jambo lolote maana ataadhibiwa
Kumbuka wakati huo huo Mou alimpa heshima ya U Vice captain (kipindi hicho). Hivi huyo mtu anaheshimu badge au is just a mercenary & gold digger.
Lakini wakati huo huo maisha ya Pogba nje ya uwanja yamekuwa yakiathiri performance yake uwanjani, na watu kama SAF alikuwa hawezi kuwavumilia.