Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
Kwa vipigo mlivyokutana navyo, kwa position mliyonayo na mpaka sasa bado yupo, sioni kama jamaa ni wa kufukuzwa mapema, mnaye mpaka msimu utakapoisha.
Na kama itakuwa mutual agreement baada ya kushindwa kuingia top 4.
Nasubiri kuona anapewa shs ngapi za transfer na atamchukua nani.
Na kama itakuwa mutual agreement baada ya kushindwa kuingia top 4.
Nasubiri kuona anapewa shs ngapi za transfer na atamchukua nani.