Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Spurs hawajasali na hawana nia ya kusajili kwa sasa sio tu kwasababu ya project ya uwanja lakini pia kocha anawajua wachezaji wake (kuna uelewano kati ya kocha na wachezaji) ambacho kwa siku karibubi hiki kitu kocha wetu alikishwa kabisa

Kochwa kunyimwa hela haina maana kwa ndo aharibu kabisa timu kuanzia nyuma, katika na mbele kiasi kwamba yeye mwenyewe au management hawajui ni eneo gani lenye shida. Hakutakiwa kujifananisha na man city etih kwa sababu wao wanatumia hela nyingi, yeye alitakiwa afanye kazi atumie wachezaji alio nao au aende akachukue kwenye academy na sio kuharibu timu nzima mpaka tumefika mahali hata De gea sasa anaonekana mbovu


Alimtaka Bailly akaletwa, lindelof akapewa basi ajaribu kuwafanya wawe wazuri lakini wapi kilichotokea ni kwamba hata hao amegombana nao baadhi kiasi kwamba mchezaji anakuwa hajiamini tena

Kocha alichotakiwa kujua kwamba Man united sio man city, sio liverpool, sio chelsea, sio totenham wala sio sawa na timu yoyote bali alitakiwa afanye kazi bila kujali hizo timu nyingine. Hili pia alishindwa
Kwani beba tuliweza kumfanya awe vizur?
 
Nadhan kikubwa kilichomtoa kocha pale ni mahusiano mabaya ya wazi wazi kati yake na wachezaji na akajaribu pia kuonyesha kwamba pia bodi haimpi support wazi wazi lakini yeye binafsi hakutaka kukubali mapungufu yake
Kuna wachezaj wengine ngumu sana kuwavumilia makosa yanajirudia rudia tu unafanyaje ndugu yangu? Falsafa ya timu hutolewa na kocha sio mchezaj akishindwa kwendana nayo si anauzwa


Paulinho na sandro walinunuliwa kwa pesa ndefu na spurs walishindwa kwenda na kasi ya pochetino waliuzwa
 
Kwa upande wangu sijafurahi lakini nadhan ni hatua ambayo imelazimu

Tusingeweza kuuza wachezaji wote tumbakize kocha ukiangalia makosa ya wazi ya upangaji wa kikosi yaliyokuwa yanafanyika katika mechi ya hivi karibuni

Ilifika mahali nikawa nahisi kama kocha labda ameishiwa mbinu au labda anafanya makusudi

Mwisho wa siku mzigo ni yeye wa kuubeba kwahiyo ni hatua ila lengo sio kufukuza fukuza bila sababu
Issue mkuu haijakuwa solved huyo kocha anaekuja nae atatimuliwa muda si mrefu. Issue ipo kwa glazer na genge lake la wahuni ambao wanakula hela za Man u kwa ujanja ujanja
 
Wanaiiga arsenal sasa.
Recruitment procedure, na kuwa na mkurugenzi wa soka ambaye kocja ataripoti kwake.
Arsenal tunaweka mifano uk.
 
Spurs hawajasali na hawana nia ya kusajili kwa sasa sio tu kwasababu ya project ya uwanja lakini pia kocha anawajua wachezaji wake (kuna uelewano kati ya kocha na wachezaji) ambacho kwa siku karibubi hiki kitu kocha wetu alikishwa kabisa

Kochwa kunyimwa hela haina maana kwa ndo aharibu kabisa timu kuanzia nyuma, katika na mbele kiasi kwamba yeye mwenyewe au management hawajui ni eneo gani lenye shida. Hakutakiwa kujifananisha na man city etih kwa sababu wao wanatumia hela nyingi, yeye alitakiwa afanye kazi atumie wachezaji alio nao au aende akachukue kwenye academy na sio kuharibu timu nzima mpaka tumefika mahali hata De gea sasa anaonekana mbovu


Alimtaka Bailly akaletwa, lindelof akapewa basi ajaribu kuwafanya wawe wazuri lakini wapi kilichotokea ni kwamba hata hao amegombana nao baadhi kiasi kwamba mchezaji anakuwa hajiamini tena

Kocha alichotakiwa kujua kwamba Man united sio man city, sio liverpool, sio chelsea, sio totenham wala sio sawa na timu yoyote bali alitakiwa afanye kazi bila kujali hizo timu nyingine. Hili pia alishindwa
Salute kwako mkuu
 
Jose Felix Mourinho; mwanadamu mmoja, mtu mmoja, jeuri mmoja, kiburi mmoja, mjivuni mmoja, konki mmoja....... Amekuwa mwamba sana lakini december imekuwa jabali kwake...... Jose alikuwa amemaliza kila kitu mapema sana, muda mwingi alikuwa akitumia makombo yakiporo tu.

Laurent Blanc anaweza kuwa mtu sahihi kwa Manchester United, mbinu, utamaduni, urafiki, pamoja na aina ya ucheza wa ufundishaji wake vinaweza kuwa tiba kwa mashetani wekundu.
 
Sikuelewa kwann bodi hawakumwamini huyu kocha na at least yeye aliweza kufanya timu icheze soka la kupendeza ila tu kilichokuwa kina miss ni striker mmaliziaji wa kufunga goli 20+ kwa msimu

Hapa ndo tunarudi pale pape baadhi ya mashabiki wanailamu bodi kwamba yenyewe ndo yenye makosa ambayo ukiangalia ni ukweli

Lakini angalia tofauti kubwa iliyopo kati ya maurino na Van gal kwamba Van Gal pamoja na kufanya kazi katika mazingira magumu lakini timu haikuonekana kuvurugika kama ilivyo sasa at least tulijua kwa van gal kwamba shida ni umaliziaji. Ila kwa huyu maurino kisa tu kakosa wachezaji wake basi kaivuruga timu nzima hautuji kama shida ni striker, midfielder, beki au kipa. Kwa kifupi ni kwamba ameiharibu timu nzima

Na mwisho na baya zaidi ni kwamba ameuwa confidence za asilimia kubwa ya wachezaji. Wakati ukiangalia Van gal yeye hakujali kama bodi hawampi support alienda kwennye academy akachukua makinda wakina Rashford, Tuanzabe, n.k akawafanye wacheze timu ya wakubwa na akawajengea confidence
Mkuu bodi inalaumiwa kwa kutafuta watu ambao si sahihi kuiongoza club unampa kazi kocha mpak bus halafu unamnyima pesa unafanya nini? Yani rashford akabe?

Tulitegemea mourinho awe kama pep au klopp bodi ilitakiwa kuchinjwa kwanza ndipo anafuata kocha

Angalia arsenal walianza kuangalia misingi yao kwanza kabla hawajamfikia kocha kumpa kazi
 
Nimeokota huko mtaani

MAN U is the most consistent team.


_One win in August._
_One win in September_
_One win in October._
_One win in November._
_••••• its just like menstruation cycle!!!

If they don't win in December know that they arepregnant
 
BREAKING NEWS

MWINYI ZAHERA, kumbe kaondoka yanga kweli, na kuanzia muda wowote hivi Leo anatangazwa kuwa manager mpya wa Manchester united....

Ile kusema anaenda kusinya karatasi zake ulaya sio kweli, anaenda kwenye jiji la Manchester tayari kuchukua mikoba ya mourinho....


KILA LA KHERI MWINYI ZAHERA KWENYE MAJUKUMU YAKO MAPYA

 
Sikuelewa kwann bodi hawakumwamini huyu kocha na at least yeye aliweza kufanya timu icheze soka la kupendeza ila tu kilichokuwa kina miss ni striker mmaliziaji wa kufunga goli 20+ kwa msimu

Hapa ndo tunarudi pale pape baadhi ya mashabiki wanailamu bodi kwamba yenyewe ndo yenye makosa ambayo ukiangalia ni ukweli

Lakini angalia tofauti kubwa iliyopo kati ya maurino na Van gal kwamba Van Gal pamoja na kufanya kazi katika mazingira magumu lakini timu haikuonekana kuvurugika kama ilivyo sasa at least tulijua kwa van gal kwamba shida ni umaliziaji. Ila kwa huyu maurino kisa tu kakosa wachezaji wake basi kaivuruga timu nzima hautuji kama shida ni striker, midfielder, beki au kipa. Kwa kifupi ni kwamba ameiharibu timu nzima

Na mwisho na baya zaidi ni kwamba ameuwa confidence za asilimia kubwa ya wachezaji. Wakati ukiangalia Van gal yeye hakujali kama bodi hawampi support alienda kwennye academy akachukua makinda wakina Rashford, Tuanzabe, n.k akawafanye wacheze timu ya wakubwa na akawajengea confidence
U have a point chusa. Ninachoona ni kuwa man utd ina kikosi kizuri. Tatizo ni kocha. And yes confidence ni tatizo. Lakin kikosi hiki kikirudishiwa confidence kitakuwa moto sana
 
Wanaiiga arsenal sasa.
Recruitment procedure, na kuwa na mkurugenzi wa soka ambaye kocja ataripoti kwake.
Arsenal tunaweka mifano uk.
Man u walikuwa naye enzi za fergie. David gill kama unamkumbuka. huyu ndio alileta vyombo pale united. Toka aondoke man u imekuwa ikisajili wachezaj wa ajab ajab. Na pia man u ikavunja structure ya director of football.
 
Issue mkuu haijakuwa solved huyo kocha anaekuja nae atatimuliwa muda si mrefu. Issue ipo kwa glazer na genge lake la wahuni ambao wanakula hela za Man u kwa ujanja ujanja
Glazers ndio wanye timu ww unawaita wahuni.
Ww sema wanachohitaji ni director of football. Na right coach basi.
 
.
mrdtafc___BrhyYdDhTWg___.jpg
 
So it’s £24m to sack Mourinho (per @DuncanCastles) & £34m to get Pochettino out of Spurs (per @MattHughesTimes).

£58m in total - or around three-quarters of a Harry Maguire.
 
Back
Top Bottom