radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Kipindi anachukuwa ubingwa na porto alitufumuaga ki goli kimoja nyumban alikimbia uwanja mzima akateleza mbele ya sir alex alimaind sana tulikuwa tuna muda mrefu hatujafungwa hom mjinga alivunja rekod na timu ya kawaida tu.Kweli kabisa. Na amewananga kweli leo....
Hapo ndio utamu wa Mourinho unaponoga.View attachment 925339
Huyo ndo jose mourinho


