Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,747
2300 hrsSAA ngapi Mkuu ?
2300 hrsSAA ngapi Mkuu ?
2300 hrs
Leo tunafanya maajabu pale Turin
Right wing yupo Lingard shauri yako!
Dah ila poleni sana Red Devils hahahahahahhahaha Maana katika vitu strange naviona ni Sanchez kucheza namba 9 hahahahhaha
Ila haushangai dyabala kicheza namba 9. Wabongo bwana daah!!Right wing yupo Lingard shauri yako!
Dah ila poleni sana Red Devils hahahahahahhahaha Maana katika vitu strange naviona ni Sanchez kucheza namba 9 hahahahhaha
Ngoja uone miracles!!
Hapo katikati mwa uwanja panatisha hatari! Sijui viungo wetu watafanya nini.
Ila haushangai dyabala kicheza namba 9. Wabongo bwana daah!!
Mkuu,umemfuatilia Sanchez kabla ya kuja MUFC?
Ila unakubali kwamba ni strange si ndio?Yote kuforce maisha, kwa Sanchez its so strange kuliko Dyabala.
Sio miracles mkuuNgoja uone miracles!!
Barça alikuwa anachezaHivi Barca au Arsenal alicjezaga hiyo namba?
Hivi Barca au Arsenal alicjezaga hiyo namba?
Hesgoal.comHello Team naomba mwenye link ya kutazama hii game online anisaidie tafadhali.