Mkuu ni Young boys sio Club brug. Baada ya mech hii ya Juve kupata ushindi naamin sasa tunaweza vuka round inayofuata japokuwa hatupaswi kubweteka.Boss pole, hahhaha ukonk umetamalaki kwa MOUH... Ilipigwa comeback ya kihistoria... Na MOUH alivyojeuri akawapa ishara kuwa SIWASIKII as alikuwa anazomewa na mashabaki... Ronaldo nae anasahau UTD imemlea hadi kufika hapo alipo anatuoneshea 6 packs.... Yote kwa yote jana vijana wamejihakikishia kuvuka next level... Na iman kwa Club Brug kuna 3 points pale... Kaz ipo kwa Valencia walau wakaze sare then kilaini mtoano.
Shukran mkuu kwa hizo amendments. Naamini kikwazo kikubwa kilikuwa Juve... Naamin pia game ya Juve na Valencia itakuwa ngumu sana.Mkuu ni Young boys sio Club brug. Baada ya mech hii ya Juve kupata ushindi naamin sasa tunaweza vuka round inayofuata japokuwa hatupaswi kubweteka.
Ggmu
Dharau kubwa sanaRonaldo anatuonyesha six packs??!!!..hiki kitu kiliniuma sana jana..
Umekumbukwa mnoNimekuja nakimbia uwiii nahemea juu juu tu!!!,huu umama kazi kweli embu nihadithieni nini kinaendelea mtaani huku nasikia tu Man United konk konk!!!!
Sasa mbadala wa pogba unaifikiri ni nani? Maana usiishie tu kunyosha vidole unatakiwa kutoa mbadala...kwasasa anasaidia kwa kiasi fulani sio bure,ushindi tunaoupata ana mchango wake pia,Jamani mnisamehe mimi mtu wa Liver nimepita tu huku kuwapa hongera, ila jamani mmeshinda lakini Pogba anawangusha kwa kweli anatakiwa ku step up. kwanini anashindwa kufanya basic ya midifielders kapoteza mipira mingi sehemu mbaya kwa kweli. kwani mtu lazima upige chenga. Ukweli jana nimeamini Pogba bado sana kama anataka kuwa good player lazima abadilike. halafu eti hakutaka kushangalia mbona Ronaldo kashangilia halafu kama kawaomba msamaha Man u which is ok lakini raha ya mpira kushangilia. nachukia sana hawa wacheza waio shangilia sababu tu alichezea team fulani.
Tulia wewe konki konki masterFurahieni..Lakini msijisahau wiki hii kuna Man Utd Vs Man City
Anaonyesha six pac ili mjue bado hajazeekaRonaldo anatuonyesha six packs??!!!..hiki kitu kiliniuma sana jana..
HahaaKama mwana Chelsea naombea sare na city tu nitawashukuru sana
Logically mmepita lakini mathematically bado kwa hiyo msibweteke
Mechi ya Juve na Valencia halafu Valencia na Man U inaweza ikachafua hali ya hewa kwenu
Ahhhhh!!! Kumbe aiseee ngoja nitafute marudio nione,asante sanaaaaaaaBoss pole, hahhaha ukonk umetamalaki kwa MOUH... Ilipigwa comeback ya kihistoria... Na MOUH alivyojeuri akawapa ishara kuwa SIWASIKII as alikuwa anazomewa na mashabaki... Ronaldo nae anasahau UTD imemlea hadi kufika hapo alipo anatuoneshea 6 packs.... Yote kwa yote jana vijana wamejihakikishia kuvuka next level... Na iman kwa Young Boys kuna 3 points pale... Kaz ipo kwa Valencia walau wakaze sare then kilaini mtoano.
Nilitekwa bana ndo nimeachiwa huru!!! Yaani ndugu yenu napotea hata hamnitafuti?Nadhani ulikua dunia nyingine ileeee![]()
Sawa mkuu... Wkend nayo inajongea kwa kasi while the Citizen ni fumbo ambalo vijana wanatakiwa walifumbue.Ahhhhh!!! Kumbe aiseee ngoja nitafute marudio nione,asante sanaaaaaaa
Hawa watani wetu sometime yes some time no ila tutashinda!!Sawa mkuu... Wkend nayo inajongea kwa kasi while the Citizen ni fumbo ambalo vijana wanatakiwa walifumbue.
Hahahha au watuchachafye watupe muda wa kujiuliza tena.... Ngoja tuone inakuwaje sisy.Hawa watani wetu sometime yes some time no ila tutashinda!!
Kwa sisi wakubwa tunajua ulipo haina haja ya kutafutwa unarudi mwenyewe tu kama hivi.Nilitekwa bana ndo nimeachiwa huru!!! Yaani ndugu yenu napotea hata hamnitafuti?
You got one thing right...nimefurahia goli la Mata.
Kocha wa Juve atakuwa anajuta kuchelewa kumweka Mandzukic. Dogo Cuadrado alishachoka long na machenga yake yasiyo na mantiki.
Kuhusu vyombo tulivyokodi nahisi tuviache tu hapa store maana weekend si mbali. Huyu mgonjwa bado tia maji tia maji.