Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Pogba ana mbwembwe sana,anapoteza mipira mingi kizembe.
 
Mbona mnachezewa? Sijaona Clear chance hata moja mliyobahatisha
 
45 mins sijaona cross hata moja

Man united mipango yao inaishia pale wanapovuka kati kwenda kwa Juve wanaanza kujifanya wao ni Barca ajabu wao wako wanne wenzao wapo nane sijui wanategemea nini, mind you wale ni world class defenders.

inconsistency inawatesa wachezaji wa United poor Martial poor Pogba poor performance.

angalau Sanchez naziona mishemishe zake ila akina Martial na Pogba wanamuangusha wanapaka sana rangi mpira wachezaji hawasogei mbele kuongeza presha kwa Juve.

Namuona De Gea, Lindelof, Herrera na Sanchez tu humu ndani nitashangaa Lingard akiendelea.
 
United hain mkakat wowote wa kupat goli hakuna flow nzuri ya mpira yani wanajichezea tu ilimradi wamefik Kwenye lango la Juve¡
Ni aibu
 
semeni yoteee lakini hii game Lukaku ilimuhusu 100% akina Cheillin na Bonucci wamerelax kabisa no fear yani, kilo 100 zikikaa pale mbele mabeki habari wanaipata
 
Back
Top Bottom