Hahahahaha. Mkuu mgonjwa ndiyo anaamka kitandani hivyo.You got one thing right...nimefurahia goli la Mata.
Kocha wa Juve atakuwa anajuta kuchelewa kumweka Mandzukic. Dogo Cuadrado alishachoka long na machenga yake yasiyo na mantiki.
Kuhusu vyombo tulivyokodi nahisi tuviache tu hapa store maana weekend si mbali. Huyu mgonjwa bado tia maji tia maji.
Huwezi amini

