Hatuwezi kupindua meza kibabe pale turin leo wakuu??
Man sizani kama mtakuja kupata kocha kama huyu.Yaani zile big match mnaingia na vikosi vyenu kichwani,lkn sasa hiyo first 11 yake anajaza watu usiowafikiria,kabisa alafu wanaupiga mwingi vibaya mno ,kama Park Ji SUNG atakosekana match zote lakn big match lazima acheze.Sasa yupo huyu Morinho naona kama anawaharibia timu ,nikimtazama Rushford roho inaniuma kwani ingekuwa enzi za Fergie dogo angekuwa mchezaji wa daraja la juu,babu alikuwa anajua kutusurprise.Hapa arsenal hakuchomoka
Leo ktk historia ndipo sir alex alianza kazi ya ukocha ndani ya manchester united
View attachment 923683
Ji su park alikuwa mtaalam wa kutibua na kuweka vizuizi njiani. Mnapiga pasi zisizo na mwelekeoMan sizani kama mtakuja kupata kocha kama huyu.Yaani zile big match manaingia na vikosi vyenu kichwani,lkn sasa hiyo first 11 yake anajaza watu usiowafikiria,kabisa ,alafu wanaupiga mwingi vibaya mno ,kama Park Ji SUNG atakosekana match zote lakn big match lazima acheze.Sasa yupo huyu Morinho naona kama anawaharibia timu ,nikimtazama Rushford roho inaniuma kwani ingekuwa enzi za Fergie dogo angekuwa mchezaji wa daraja la juu,babu alikuwa anajua kutusurprise.
maajabu hayo bado hujayaona kwa Mourinho kwani??Man sizani kama mtakuja kupata kocha kama huyu.Yaani zile big match manaingia na vikosi vyenu kichwani,lkn sasa hiyo first 11 yake anajaza watu usiowafikiria,kabisa ,alafu wanaupiga mwingi vibaya mno ,kama Park Ji SUNG atakosekana match zote lakn big match lazima acheze.Sasa yupo huyu Morinho naona kama anawaharibia timu ,nikimtazama Rushford roho inaniuma kwani ingekuwa enzi za Fergie dogo angekuwa mchezaji wa daraja la juu,babu alikuwa anajua kutusurprise.
Bado na sifikiri kuja kuyaona,Morinho si mtu wa kuwaamini na kuwajengea confedence kama babu.Fergie mtu mwengine kabisa ,kipindi fulani alikuwa na sub yake hiyo Macheda, yeye kazi yake ilikuwa kufunga magoli ya ushindi dakika za mwisho.maajabu hayo bado hujayaona kwa Mourinho kwani??
United ya Sir kila mchezaji alijiona world class. Saiz Mou anafanya wachezaji wanaingia kwenye pitch wakiwa inferior hata dhidi ya timu ndogo.maajabu hayo bado hujayaona kwa Mourinho kwani??
23:00 EAT,,Ngoma tano kamili..SS5 on dstvHii mechi itaruka hewani mida gani?
Barca ile ilikuwa sio mchezo..2010United ya Sir kila mchezaji alijiona world class. Saiz Mou anafanya wachezaji wanaingia kwenye pitch wakiwa inferior hata dhidi ya timu ndogo.
Japo kuna game moja ya Barca tulichezewa mpira mpaka mzee akawa anatetemeka.
Asante mkuu!!23:00 EAT,,Ngoma tano kamili..SS5 on dstv
lakini alifeli chini ya Fergie na aliondoka ndani ya utawala wakeBado na sifikiri kuja kuyaona,Morinho si mtu wa kuwaamini na kuwajengea confedence kama babu.Fergie mtu mwengine kabisa ,kipindi fulani alikuwa na sub yake hiyo Macheda, yeye kazi yake ilikuwa kufunga magoli ya ushindi dakika za mwisho.
ni kweli mkuu hata Lingard angekuwa enzi za babu tungekuwa tunaongea mengine saiz,, maana alianza na moto sana enzi za MoyesUnited ya Sir kila mchezaji alijiona world class. Saiz Mou anafanya wachezaji wanaingia kwenye pitch wakiwa inferior hata dhidi ya timu ndogo.
Japo kuna game moja ya Barca tulichezewa mpira mpaka mzee akawa anatetemeka.
23:00 EAT,,Ngoma tano kamili..SS5 on dstv
Valencia kushinda hilo linaweza kutokea,Young boys wachovu tu..point ya msingi ni kwamba tujipange kumfunga valencia nyumbani kwao na tuombe juve amfunge valencia mechi ijayo..otherwise tunahitaji kushinda leo au kudraw ili kufanya mambo yasiwe magumu sana..Valencia akishinda game yake tutakuwa na presha sana leo.
ha ha ngoja nipite tu kusubili hayo maajabuLeo tunafanya maajabu pale Turin
Leo tunafanya maajabu pale Turin