UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
Hapana Mkuu Hawajakosea pahali! Bali Kuna Marefa Kana Kina Howard Webb wameshastaafu! Hapo ndiyo shida ilipoanzia If only you know what I mean.




Hapana Mkuu Hawajakosea pahali! Bali Kuna Marefa Kana Kina Howard Webb wameshastaafu! Hapo ndiyo shida ilipoanzia If only you know what I mean.




Tutawapiga kwao.Pigaaaaaaaaaa juve
Nyani haoni kundule lake..Akili za kindezi kuita wenzio masokwe
Liverpool alipofika final msimu wa jana hakuna aliyedhani.Ancelot ni kocha mzuri lakini kuchukua uefa champions na timu hii Napoli ni uongo
Ko walioanza badala ake ni wabovu auUnasajili Fred kwa kitita cha pound 50 million halafu unamweka bench,hivi Jose ana akili swa sawa ?
Paul Scholes anasema akiangalia man u inavyocheza inatia hadia aibuUKITOKA KUANGALIA SEX FOOFBALL YA ARSENAL HLF UKAENDA KUANGALIA PIRA BOVU KABISA LA MAN U UNAKUFA KABISA
Unai anateleza kinoma 11 win in a row sio kitu kidogo..Muda mwingine huwa namlaumu fergie kwa kuiacha timu ikiwa ishajichokea maana wengi wa players walikua over age....waliokuja chukua mikoba yake wanateseka tu... hebu ona wenger kaacha squad bado bichi kabisa unai anateleza tu
Mkuu nieleze kwa kifupi Sana. Ni bora kwa Sasa kocha awe Roy Keane Kukiko ule uharo unaojiita special 1Naona umeanza kuujua mpira juzi sijui kama unajua kuna kipindi cha mpito?
Uliwahi kuiona barcelona ikisumbua spain toka 1998 hadi 2008? Hicho kipind walikuwa wapi?
Madrid 2002 hado 2009 walikuwa wapi wengi wenu mpira mmeanza kuujua juzi.
Pamoja na kusuasua ni mwaka jana tu hatukufanikiwa kushinda kitu bado tumeendelea kuchukua vikombe japo vidogo
Kila timu lazima ipitie kipind cha mpito kuna generation huondoka na kuja mpya hasa club kubwa
Kweli kabisa. Na hicho ndio chanzo cha ugomvi na kocha. Watu wamekazania tu kocha hana mbinu, kashindwa kumiliki dressing room, sijui wanataka awe anawachekea tu???Wala siyo kidogo ni ndefu sana. Kikosi kile kina utoto mwingi sana
Shida sio timu alioacha shida ni communication skill ya Mou ni mbovu sababu record yake iko wazi mfano niliwahi msikia ozil anamzungumzia mou wakati yuko Madrid, Chelsea same things now kwenu kiasi anadababisha anakua na poor focus kwenye kitu anachokihitajiMuda mwingine huwa namlaumu fergie kwa kuiacha timu ikiwa ishajichokea maana wengi wa players walikua over age....waliokuja chukua mikoba yake wanateseka tu... hebu ona wenger kaacha squad bado bichi kabisa unai anateleza tu
Hii ni nadharia sio fact Radika umekuaje?? Mtu anasema 'I think' bado unaitumia kama evidence kweliMiralem Pjanic on Cristiano Ronaldo: "Everyone talked about Paul Scholes as being extraordinary, but not because he was out there doing dummies. By keeping things simple, he made himself special. I think Ronaldo learned from that, his game became more concrete"
Napoli kuchukua uefa ni uongo tunza hii post utakuja kuniambia....napoli kwa juve tu hafurukutiLiverpool alipofika final msimu wa jana hakuna aliyedhani.
Chelsea alipotwaa ubingwa wa uefa hakuna aliyedhani.