joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 18,848
- 39,501
Turin kule man akifa, basi mechi na Valencia itakuwa kama fainali na akipigwa tu round ya pili atadondokea kwenye FUTUHI.
GGMU!! GGMU!! leo juve anakufa jamani..mark my words..!!
Jambo gani kubwa zaid ya ushindi, jana tena mmetobolewa alafu bado mnajinasibu ninyi ni timu kubwa 😂Aliyelogwa ni yule asiyejua tofauti ya kulogwa na kurogwa
Aliyelogwa ni yule asiyejua kwamba mpira ni zaidi ya goal difference.....mpora ni jambo kubwa zaidi
😂😂😂 ww mwenyewe unajua kabisa makombe yenye heshma ni EPL na UEFA hayo ndo makombe utakayo kutana na kikosi cha kwanza. Hayo huwez kuyachukua nakuapia utaishia kusindikiza wanao juaMwenye matatizo somewhere ni yule anayesema United hawajachukua kombe miaka 5, wakati anajua mwaka 2016 alichukua kombe la Europa na Carling
Kuwakumbusha tu wadau, ni kwamba hilo kombe la Europa ndio kuna timu flani siku hizi inalipambania kulipata siku za Alhamisi usiku
Tatizo la fred ni defencive. Unamtoa kiungo mshambuliaji unamuweka kiungo mkabajiNaona mourinho kaishapata 11 yake...bt me niwe mkweli,pale toa Mata weka Fred alafu waache wacheze.
Lukaku yuko pale kwa fadhila za kocha tu. Ila ukweli ni kuwa man u wakisajili kocha mpya lukaku atauzwaLukaku anazibia riziki wenzie, Forward wangewekwa watu watatu tu. 9 acheze Rashford, 11 acheze Martial na 7 acheze Sanchez. Jamaa ukiacha Aerial duels hamna kitu kwa sasa hivi
Lukaku yuko pale kwa fadhila za kocha tu. Ila ukweli ni kuwa man u wakisajili kocha mpya lukaku atauzwa
Tatizo la arsenal anacheza alhamisi na alhamisi wanacheza rejects wa jumanne na jumatanoUKITOKA KUANGALIA SEX FOOFBALL YA ARSENAL HLF UKAENDA KUANGALIA PIRA BOVU KABISA LA MAN U UNAKUFA KABISA
Mu kama wanamidomo sana kama single mothers...!Eti oohhh.. Timu imerudisha fighting spirit. Hehee.. Yan mlikua mnataka mponee darajani. Sasa kwa hali hii kwa nini nisiifurahie ile draw. Ningeulizwa huyu kipofu alikupigaje.?
Tukubaliane mchezo wenu wa kawaida na ushindi ni wa bila mipango mnavizia vizia tu, sema tatizo lenu mna midomo sana.
Anyway tukutane the so called FUTUHI league the next day. Poleni sana
Kweli is yr best team..! Bila shaka nawe u best kama team yakoGood luck my sweethearts ..my best team in the world