Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Lukaku ni mchezaji anayeonekana kuchoka kuanzia mwili hadi akili mwanzo hadi mwisho wa kila mchezo tuliocheza msimu huu,ajabu ni kwamba weekend hii ataanza na kumaliza dakika zote. Ni kwanini José asifurushwe?
Pale mbele huwa anakaa tu ndiyo maana anakua.mnene,yani hazunguki kabisa kutia hamshahamsha
 
Kumekucha huko
Screenshot_20181026-124852.jpg
 
Lukaku ni mbovu ila sio sana kama anavyoonekana akiwa UTD..aina ya mchezo ndo unatukost maana MBONA AKIWA BELGUM ANAFUNGA KAMA KAWAIDA!? yes belgum amezungukwa na wachezaji wazuri lakini kama UTD ingekuwa inacheza kama Belgum LABDA lukaku angeshine..!
 
Lukaku ni mbovu ila sio sana kama anavyoonekana akiwa UTD..aina ya mchezo ndo unatukost maana MBONA AKIWA BELGUM ANAFUNGA KAMA KAWAIDA!? yes belgum amezungukwa na wachezaji wazuri lakini kama UTD ingekuwa inacheza kama Belgum LABDA lukaku angeshine..!
Kocha anashindwa kumtumia lukaku vizuri.... Anashindwa kujua lukaku mdhaifu eneo gani ili atengeneze mfumo utakao mbeba striker.... Yeye kakazania kuzungumzia timu nyingine zinafanya nini Lazima tukome kwa kuajili watu wasio na passion na mpira
 
Kocha anashindwa kumtumia lukaku vizuri.... Anashindwa kujua lukaku mdhaifu eneo gani ili atengeneze mfumo utakao mbeba striker.... Yeye kakazania kuzungumzia timu nyingine zinafanya nini Lazima tukome kwa kuajili watu wasio na passion na mpira
Timu ikifungwa anaanza kuzungumzia timu nyingine zinavyosajili. Mou amechoka!
 
Lukaku ni mbovu ila sio sana kama anavyoonekana akiwa UTD..aina ya mchezo ndo unatukost maana MBONA AKIWA BELGUM ANAFUNGA KAMA KAWAIDA!? yes belgum amezungukwa na wachezaji wazuri lakini kama UTD ingekuwa inacheza kama Belgum LABDA lukaku angeshine..!
Mara nyingi lukaku yuko peke yake kule mbele, Winger zote ziko nyumaaa. Hapo lukaku hawezi kucheza mwenyewe. Lukaku mweke kwenye box ,mpe pasi afunge.
Juzi hapa lukaku kasema mwenyewe, kuwa wachezaji wenzake (man u) hawajajua jinsi ya kumtumia, kama Belgium. Nazani hili lilikuwa dongo kwa kocha.
 
Tonny Martial akataa mkataba mpya Man United.

Klopp anamwinda na yupo kwenye radar za Liverpool tokea kabla ya kutua Man United.
IMG_20181026_223135_143.jpeg
 
Muda mwingine huwa namlaumu fergie kwa kuiacha timu ikiwa ishajichokea maana wengi wa players walikua over age....waliokuja chukua mikoba yake wanateseka tu... hebu ona wenger kaacha squad bado bichi kabisa unai anateleza tu
Siyo kweli Bali walimu wanaomfuatia mbinu zao ni mbovu. Kuna wakati huwa naona tulikosea pale tulipomtimua Moyes. Angepewa muda atumie pesa kubwa kwa kusajili kisha aangaliwe.
 
Moyes alikuwa ni kituko mkuu
Ha ha ha. Alikuwa na mipango mizuri tu Sema alitiririshwa mapema mno. Kuna siku Moyes alisema deal la Kroos kuja Man U lilikufa baada ya yeye kutimuliwa na Tony Kroos aliwahi kukiri kwamba kuna muda alikaribia kabisa kutua Man U.
 
Ha ha ha. Alikuwa na mipango mizuri tu Sema alitiririshwa mapema mno. Kuna siku Moyes alisema deal la Kroos kuja Man U lilikufa baada ya yeye kutimuliwa na Tony Kroos aliwahi kukiri kwamba kuna muda alikaribia kabisa kutua Man U.
Moyes hakuwa na uwezo wa kuvutia na kuhandle big players hata kidogo
 
Mistake itakayo watafuna ni moja tu mode ya biashara iliyotengenezwa na mabosi wa Manchester United hiyo moja mbili kwa haina hiyo ya biashara hamtaki kabisa kukubali ukweli kwamba lazima mwalimu sahihi apewe muda badala yake mmeangukia kwenye immediately resque service which inaleta wrong people like Mourinho na ndipo shida inapoanza kwa timu kama Manchester.

Manchester sio Madrid au and Chelsea Manchester ni Manchester ndio maana watu kama Legend wanashangaa man u imekuaje muda huu binafsi nashangaa pia.

Furgie alipewa muda nakumbuka alivurunda sana ikafika kipindi wakamtilia shaka sana but in the end alipewa heshima kubwa nafikir ni moja kati ya Man U legend.

Sitaacha kusisitiza kua ile kutaka kurudi kwenye pick ndiko kunakoifanya izidi kupoteze muda sababu timu inatizamwa kwa macho ya kibiashara lakini in a long run hawaoni kuwa wanaitaji mwalimu atakaepewa muda na timu na mwenye kuipenda kweli Manchester sio kwa mifumo ya kibiashara as now inavyoendeshwa.

Kinachofanyika sasa sio kuisimamisha Manchester imara bali ni kuirudisha biashara imara ndio maana mtu kama mourinho analetwa pale ili kuinusuru but vipi kuhusu back ground yake? See hapo ndipo penye shida na itabaki kua shida always mpaka atakaepewa timu akae nayo na kuifanya iwe Manchester bila kujali atafanyaje at first lakini mtu huyo hawezi kua mourinho kamwe.
 
Back
Top Bottom