mwisho2016
JF-Expert Member
- Jun 27, 2016
- 724
- 625
Morry aondoke noway
Naona umeanza kuujua mpira juzi sijui kama unajua kuna kipindi cha mpito?Chukueni na leo sasa kama mnaweza...... Nafasi zenu ni za saba huko, sasa hiv chamipions league mnaenda ku report mnarudi
Ndo muache mbwe mbwe sasa, mkishinda mechi tatu mfululizo bas ndo kelele hatuponi... Kama mnajua mpo kwenye kipindi cha mpito mbwe mbwe za niniNaona umeanza kuujua mpira juzi sijui kama unajua kuna kipindi cha mpito?
Uliwahi kuiona barcelona ikisumbua spain toka 1998 hadi 2008? Hicho kipind walikuwa wapi?
Madrid 2002 hado 2009 walikuwa wapi wengi wenu mpira mmeanza kuujua juzi.
Pamoja na kusuasua ni mwaka jana tu hatukufanikiwa kushinda kitu bado tumeendelea kuchukua vikombe japo vidogo
Kila timu lazima ipitie kipind cha mpito kuna generation huondoka na kuja mpya hasa club kubwa
Wakat anasajiliwa hapakutosha humu, mashabiki wa man u muwe na akiba ya maneno mana mkishinda hata game tatu mfululizo basi kila mchezaji wenu anakua world class playerUnataka asifiwe kwa kufanya pumba uwanjani!?
Unajua maana ya ushabiki? Ushasikia mpira unashangiliwa kimya kimya rudi ukajifunze mpira ukiongozwa na chuki utapata tabu sanaNdo muache mbwe mbwe sasa, mkishinda mechi tatu mfululizo bas ndo kelele hatuponi... Kama mnajua mpo kwenye kipindi cha mpito mbwe mbwe za nini
Nilichogundua unasumbuliwa na wivu plus hasira unataka mchezaj wa united asiwe na mshabiki wa everton?Wakat anasajiliwa hapakutosha humu, mashabiki wa man u muwe na akiba ya maneno mana mkishinda hata game tatu mfululizo basi kila mchezaji wenu anakua world class player
Soma hii takataka yako wewe ni kipi kilikusibu hadi ujue mnashinda goli nne kama sio vi mechi vitatu vya wakina cadifu? Ulikuwa na akiba ya meneno?Wakat anasajiliwa hapakutosha humu, mashabiki wa man u muwe na akiba ya maneno mana mkishinda hata game tatu mfululizo basi kila mchezaji wenu anakua world class player
Wivu wa nini mkuu, kwa timu yenye wachezaji kama akina lingard na rashford alaf mnataka mchukue EPLNilichogundua unasumbuliwa na wivu plus hasira unataka mchezaj wa united asiwe na mshabiki wa everton?
Morata na girud sio? Ukiacha hazard nani mwingine?Wivu wa nini mkuu, kwa timu yenye wachezaji kama akina lingard na rashford alaf mnataka mchukue EPL
Ndio ipo kwenye kiwango bora ndo mana mpaka leo ni ubeaten ninyi mshatobolewa tayarSoma hii takataka yako wewe ni kipi kilikusibu hadi ujue mnashinda goli nne kama sio vi mechi vya vitatu vya wakina cadifu? Ulikuwa na akiba ya meneno?
Halafu kumbe mtu mwenyewe wa chelsea
Mlikuwa mnakufa nyieView attachment 906732
Nina Jorginho na Kante nambie kati yao mmoja akija man u ni nani atampiga benchiMorata na girud sio? Ukiacha hazard nani mwingine?
Ushawahi sikia tumemaliza ligi bila kufungwa? Unaamini chelsea haitafungwa mechi 9 unbeten mwenzio pep alienda had mech 30Ndio ipo kwenye kiwango bora ndo mana mpaka leo ni ubeaten ninyi mshatobolewa tayar
Jorginho????? Kisa kupiga pasi labda unitajie kante ila sio huyo mrembo alishindwa hata kupenya katkat ya matic mlichofanya ni kucheza pembeni ndo mana hazard alikuwa kimya viungo wenu tulikataNina Jorginho na Kante nambie kati yao mmoja akija man u ni nani atampiga benchi
Ningetembea hivinadhani mechi tunayoisubiri sasa ni zidi ya Juventus...
hebu weka kikosi hapa mfano wewe ManU fan ndio ungepata nafasi ya Mourinho kwa ajili ya jumanne
Haijalishi..ukicheza vibaya lazima uambiwe na ukicheza vizuri unasifiwa km kawaida ...regardlesslyWakat anasajiliwa hapakutosha humu, mashabiki wa man u muwe na akiba ya maneno mana mkishinda hata game tatu mfululizo basi kila mchezaji wenu anakua world class player
Asee hujui mpira, hivi pale man u una midiefield kama Jorginho... Leta statistics za huyo Matic dhid ya Joginho this season....Jorginho????? Kisa kupiga pasi labda unitajie kante ila sio huyo mrembo alishindwa hata kupenya katkat ya matic mlichofanya ni kucheza pembeni ndo mana hazard alikuwa kimya viungo wenu tulikata
Haya niambie sasa kwamba mpaka saiz umebaki na world class player wangapiHaijalishi..ukicheza vibaya lazima uambiwe na ukicheza vizuri unasifiwa km kawaida ...regardlessly
Na ndio maana alichukua kikomba, sasa wew saiz tu ulisha tobolewa kias hcho bado uko kwenye mbio za ubingwa kweli?Ushawahi sikia tumemaliza ligi bila kufungwa? Unaamini chelsea haitafungwa mechi 9 unbeten mwenzio pep alienda had mech 30
Lipogba value yake ina-reflect quality yake. Mchezaji wa kiwango pale Chelsea ni Hazard tuu. Ukiona umesajiri mchezaji ambaye haujapata upinzani mkubwa kutoka opponents wakubwa jua huyo ni average na inabidi umtengeneze kuwa big.Asee hujui mpira, hivi pale man u una midiefield kama Jorginho... Leta statistics za huyo Matic dhid ya Joginho this season....
Ndo mana nasema man u mashabiki ndo mmebaki wapiga kelele...
Lkn nashukuru umekiri kwamba Man u hakuna midiefield kama Kante