Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Endelea kukaa huko huko mtaa wa 10Tatizo la arsenal anacheza alhamisi na alhamisi wanacheza rejects wa jumanne na jumatano
Endelea kukaa huko huko mtaa wa 10Tatizo la arsenal anacheza alhamisi na alhamisi wanacheza rejects wa jumanne na jumatano
Wengine inabidi kuwatengeneza wengine wanunuliweMan u bado, bado sana.
CB, RW,RB,DM,CF na orodha inaendelea ya watu tunaowhitaji.
Na linabaki swali, je tunawezakupata watu sahihi katika nafasi hizo?
Kumbe liver iko mtaa wa kumi sikufahamu hiloEndelea kukaa huko huko mtaa wa 10
UKITOKA KUANGALIA SEX FOOFBALL YA ARSENAL HLF UKAENDA KUANGALIA PIRA BOVU KABISA LA MAN U UNAKUFA KABISA
Man u bado, bado sana.
CB, RW,RB,DM,CF na orodha inaendelea ya watu tunaowhitaji.
Na linabaki swali, je tunawezakupata watu sahihi katika nafasi hizo?
Yani Tayari umeshkuwa Katika Kundi moja na Malafyale na Ollachuga Oc.
Mdogo wamejipiga Ban wengi hapa kama wewe! Endelea hivyohivyo Kuzunguka Kila uzi uone January ili tuone ujasiri wako.
Mkuu huwa nacheki hizi review..jamaa wanakuwaga na hasira kweli kweli






matic timu inapoloose possession yuko slow sana.Mkuu Kwani Matic Kwenye DM sio mtu sahihi?












Nawakumbusha baada ya Everton Bournemouth alafu Juve tena
Mchana mwema.ndugu zanguView attachment 909101
jiangalie usije na ww ukawa reject wa round 16 ukaendakoTatizo la arsenal anacheza alhamisi na alhamisi wanacheza rejects wa jumanne na jumatano
Man u bado, bado sana.
CB, RW,RB,DM,CF na orodha inaendelea ya watu tunaowhitaji.
Na linabaki swali, je tunawezakupata watu sahihi katika nafasi hizo?
Dalot kwa nini hapewi nafasi acheze??..Hata matic kaanza kuchokaRB tumenunua tunaweka kabatini.
Wasiwasi wangu ni kwamba hata tungempata Toby bado angekaa kabatini msimu mzima.
Dalot kwa nini hapewi nafasi acheze??..Hata matic kaanza kuchoka